Membe asingechukua fomu CCM wangefanya zengwe na Mahere wao kada mtiifu kumfuta Lissu , upinzani ungekuwa umeishia hapo. Membe kafanya kazi kubwa, uwepo wake umefanikisha kiasi kikubwa tume kumpitisha wakiamini wakiwa wote Membe na Lissu ' Kura zitagawanyika'.