umejuaje? jamaa alipata pints 7>HGK, kwa vyovyote vile alitaka afike UDSM
thanx esther, hii itamsaidiaHawezi kuwa alisoma history tuu! Na km alikuwa UD maana yake alikuwa faculty of arts and social sciences... amesoma research na mikozi mingine isiyo ya history mingi tuu. Kila anapoona requirement ni "A bachelor degree in social sciences" anawezatia timu... cha muhimu pia ni compitencies alizozidevelop km social scientist
Atengeneze vinyago
Wabongo fungukeni akili, acheni utoto, acheni kukopi. Nani kasema history haina application? Nyinyi wenye mawazo madogo pamoja na serikali yenu inayo copy sera toka marekani bila kuwa na historia ya malekani. Nataka ni wambie historia ni muhimu. kwanza kama hamjui inahusu mambo yalio pita, yaliopo na yanayokuja, Ina husu mambo gani? inahusu hayo mambo uliyosomea wewe, ambaye unafikiri accounting ndio muhimu sana. Serikali, makampuni, NGOs zinatakiwa ziwatumie wanahistory. Ushauri kwako wewe jamaa uliyetoa hii maada (Ingawa umejifanya sio kumbe ni wewe) Naungana na jamaa hapo juu kwamba tafuta Research Organization ukaapply ujuzi wako.
kweli MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO, kipi kinachokufanya mfikiri kwamba ni mimi? Sina haja ya kuficha kile nilichonacho.sema ni wewe unazuga..