ibalozy
New Member
- Sep 5, 2020
- 3
- 2
Serikali ilitangaza nafasi 500 za wauguzi wa kike, ambao walitakiwa kuenda kufanya kazi nchini Saudi Arabia, kupitia tangazo hilo ilitangazwa kuwa kufikia tarehe 10 January watakaokuwa wamefanaikiwa kupata nafasi, watatakiwa kuonana na Waziri husika.
Je, hili hili suala limefikia wapi??
Je, hili hili suala limefikia wapi??