Jamii Opportunities
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 4,438
- 1,388
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza ajira 500 za Wauguzi wa kike ambao wataajiriwa na Serikali ya Saudi Arabia mapema mwezi January mwaka 2024.
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea na dhamira yake thabiti ya kuhakikisha Watanzania wananufaika na fursa za ajira zinazojitokeza kutokana na mahusiano mazuri yaliyopo baina ya Tanzania na Mataifa mbalimbali duniani.
Mhandisi Luhemeja amesema hivi karibuni mwishoni mwa mwezi November na mwanzoni mwa mwezi December, 2023, Serikali ya Tanzania imesaini hati mbili za makubaliano ya ushirikiano katika masuala ya kazi na ajira na Serikali ya Saudi Arabia pamoja na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu.
Amesema hati za mashirikiano zilizosainiwa zinatoa fursa za ajira kwenye Mataifa husika kwa kada na sekta zenye kutumia ujuzi wa chini, ujuzi wa kati na ujuzi wa juu.
Amesema Watanzania wote wenye sifa na ujuzi uliobainishwa wanataarifiwa kuomba kazi husika kwa kujisajili NLMIS na kutuma wasifu binafsi (CV) kwa njia ya barua pepe esu@taesa.go.tz ambapo mwisho wa kutuma maombi ni December 27 2024.
---
VACANCY ANNOUNCEMENT
REQUEST FOR EXPRESSION OF INTEREST FROM QUALIFIED TANZANIAN NURSES FOR EMPLOYMENT IN THE KINGDOM OF SAUDI ARABIA UNDER THE BILATERAL AGREEMENT ON RECRUITMENT OF WORKERS
Background In November 2023, the governments of the United Republic of Tanzania and the government of the Kingdom of Saudi Arabia signed a Bilateral Agreement on Recruitment of Workers from Tanzania to the Kingdom of Saudi Arabia. The Agreement allows Tanzania labour force possessing various qualifications to be recruited to work in Saudi Arabia.
The Prime Minister’s Office – Labour, Youth, Employment and Persons with Disability through the Employment Services Unit (TaESA) has been mandated to spearhead implementation of the Agreement in terms of recruitment and facilitating migration of qualified candidates to the Kingdom of Saudi Arabia. The implementation of the agreement will be carried out in collaboration with other stakeholders including Public Institutions, Workers, Employer and Private Employment Services Agencies.
It is in this vein, the Prime Minister’s Office – Labour, Youth, Employment and Persons with Disability through the Employment Services Unit (TaESA) in collaboration with Dalba Consulting Group Company from Saudi Arabia on behalf of the Ministry of Health of the government of The Kingdom of Saudi Arabia wish to inform the general public that, recruitment of the first batch of 500 female Nurses targeted for recruitment under the Agreement are is in the process.
The Prime Minister’s Office – Labour, Youth, Employment and Person with Disability therefore invites interested and eligible candidates to register and compete for the opportunities as specified below:-
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea na dhamira yake thabiti ya kuhakikisha Watanzania wananufaika na fursa za ajira zinazojitokeza kutokana na mahusiano mazuri yaliyopo baina ya Tanzania na Mataifa mbalimbali duniani.
Mhandisi Luhemeja amesema hivi karibuni mwishoni mwa mwezi November na mwanzoni mwa mwezi December, 2023, Serikali ya Tanzania imesaini hati mbili za makubaliano ya ushirikiano katika masuala ya kazi na ajira na Serikali ya Saudi Arabia pamoja na Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu.
Amesema hati za mashirikiano zilizosainiwa zinatoa fursa za ajira kwenye Mataifa husika kwa kada na sekta zenye kutumia ujuzi wa chini, ujuzi wa kati na ujuzi wa juu.
Amesema Watanzania wote wenye sifa na ujuzi uliobainishwa wanataarifiwa kuomba kazi husika kwa kujisajili NLMIS na kutuma wasifu binafsi (CV) kwa njia ya barua pepe esu@taesa.go.tz ambapo mwisho wa kutuma maombi ni December 27 2024.
---
VACANCY ANNOUNCEMENT
REQUEST FOR EXPRESSION OF INTEREST FROM QUALIFIED TANZANIAN NURSES FOR EMPLOYMENT IN THE KINGDOM OF SAUDI ARABIA UNDER THE BILATERAL AGREEMENT ON RECRUITMENT OF WORKERS
Background In November 2023, the governments of the United Republic of Tanzania and the government of the Kingdom of Saudi Arabia signed a Bilateral Agreement on Recruitment of Workers from Tanzania to the Kingdom of Saudi Arabia. The Agreement allows Tanzania labour force possessing various qualifications to be recruited to work in Saudi Arabia.
The Prime Minister’s Office – Labour, Youth, Employment and Persons with Disability through the Employment Services Unit (TaESA) has been mandated to spearhead implementation of the Agreement in terms of recruitment and facilitating migration of qualified candidates to the Kingdom of Saudi Arabia. The implementation of the agreement will be carried out in collaboration with other stakeholders including Public Institutions, Workers, Employer and Private Employment Services Agencies.
It is in this vein, the Prime Minister’s Office – Labour, Youth, Employment and Persons with Disability through the Employment Services Unit (TaESA) in collaboration with Dalba Consulting Group Company from Saudi Arabia on behalf of the Ministry of Health of the government of The Kingdom of Saudi Arabia wish to inform the general public that, recruitment of the first batch of 500 female Nurses targeted for recruitment under the Agreement are is in the process.
The Prime Minister’s Office – Labour, Youth, Employment and Person with Disability therefore invites interested and eligible candidates to register and compete for the opportunities as specified below:-