DMmasi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 609
- 965
Habari zenu wanajamvi
Tushirikishane mada hii nawakaribisha kuchangia kile unachoona ni sawa
Jee wewe kama kijana unatakiwa kuchagua moja kati ya mawili unapotafuta binti wa kumuoa, jee utachagua lipi na kwanini?
1. Kumuoa binti anayetoka kijijini (hajayajua mengi na hana mambo mengi )
2. Kumuoa binti mliyekutana mjini (ameshayajua mengi na hakuna asichokijua)
Karibuni
Tushirikishane mada hii nawakaribisha kuchangia kile unachoona ni sawa
Jee wewe kama kijana unatakiwa kuchagua moja kati ya mawili unapotafuta binti wa kumuoa, jee utachagua lipi na kwanini?
1. Kumuoa binti anayetoka kijijini (hajayajua mengi na hana mambo mengi )
2. Kumuoa binti mliyekutana mjini (ameshayajua mengi na hakuna asichokijua)
Karibuni