Jamani ni udadisi tu wa hapa na napale, nikagundua kwamba ukiona mtu yeyote;
Mkeo, mchumba wako, rafiki yako, baba yako, mama yako, mwanao,mjomba yako rafiki yako n.k anamzimikia sana bob, sana yaani ile mbaya....kila wakati yeye bob bwana, bob......
Ujue huyo anavuta bangi au aliwahi kuvuta bangi.....
Mnasemaje kuhusu hili?
bob marley alikuwa mvuta bangi kati ya wavuta bangi,,,,,,upenzi wa watu kwa bob ni kutokana na nyimbo zake za mapinduzi na kukomboa watu kutoka katika mifumo ya kitumwa.....kama mtu ana mapenzi na bob na anavuta bangi sawa anafuata life style ambayo bob alikuwa anafanya,,,,,,na ambaye havuti na ni mpenzi wa bob nadhani huyu anaufahamu mkubwa wa nyimbo za bob..............binadamu kama binadamu hawezi kuwa perfect 100%
Jamani ni udadisi tu wa hapa na napale, nikagundua kwamba ukiona mtu yeyote;
Mkeo, mchumba wako, rafiki yako, baba yako, mama yako, mwanao,mjomba yako rafiki yako n.k anamzimikia sana bob, sana yaani ile mbaya....kila wakati yeye bob bwana, bob......
Ujue huyo anavuta bangi au aliwahi kuvuta bangi.....
Mnasemaje kuhusu hili?
...nimevuta bange..imenibangua..imenituma nikuambie Preta umalizie vua hiyo chupi...nikuchungulie... ha ha hahaaaaaaaaaaaaaaa
Itakuwa John WalkerNa wale wanaokunywa pombe je! Hawa wanamzimikia nani?