Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,325
- 9,182
1)baada ya kukubaliwa ombi mawasiliano huwa matamu sana
2)baada ya kupeana mautamu kwa mara ya kwanza
3)mlipo agana kila mtu kwake 【mikoa tofauti】kila mmoja atakuwa anakesha na simu kukufatilia kama umetoa siri ya mlivodate, au kuna mtu anakunyemelea hii unasahau hadi kumpigia simu kumjuilia hali huyo mpenzi wako wa mtandaoni.
5)ulipoona kama vile wewe ndo unalazimisha mapenzi ukaamua usikilize mziki kila ifikapo usiku
6)siku ziliposonga mwenza wako wa mtandaoni akakukumbuka safari hii akahitaji aje akae kwako kbsa ila ndoivo nae hajiamini kwa wapenzi alionao
7)mkitoka nae matembezi anakuwa na wasiwasi wa kufumaniwa hivo matembezi na wewe hakuna labda lodge
8) baada ya kutumiana sana nyuchi sasa wapenzi halisi nje ya mitandaoni wanaanza kusumbua
9) kwakuwa uliaga kwa mpenzi wako halisi kuwa upo kikazi somewhere, kabla hujaridi nyumbani kwa mpenzi wa mtandaoni unaamua uwasiliane kwanza na mpenzi halisi
10) baada ya kuchoshwa na utumwa hapa ndio visababu vya hapa na pale huibuka km vile mbona hatuzai watoto, mbona hunipeleki kwenu yote haya tu mmechokana
la mwisho kabisa couple za mtandaoni haziwezi kukaa na kutatua changamoto zao pia haziwezi kukaa na kujadili mambo endelevu ya msingi. hii ni kwavile kila mmojawapo anajipa kiburi cha akikosa hiki wapo wengi fb ntawapata au akijishaua ntamchukua flani wa inst maisha yatasonga.
jumapili njema kwenu.