Simuchi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2016
- 275
- 193
Kumbe unaifwatilia isidingo vizuriMbona kama ni Nina Zamdella?
Kumbe unaifwatilia isidingo vizuriMbona kama ni Nina Zamdella?
Alafu barker alitaka kumpa mpunga mrefu tu yule mzee mafia sana mi tangu amchome moto yule mzungu aliyetaka kumtoa moyo namwogopa sana barkerHiyo ni kutumia silaha ulizonazo kumwangamiza adui.. Bora angejichukulia pesa kwa baker akasepa
Unajua Sizwe yuko kwenye ile tamthilia nyingine jina limenitoka ambayo Katlego ndio yuko sasa pamaoja na Derek Nyati,kule Sizwe ni katili sanaKwa kweli wanaume type ya Sizwe inaniboa. A man has to be self determined and self controlled.
was it a real death?Letti Matabane (Lesego Motsepe) alikufa siku kama ya leo akiwa na miaka 40. Alikufa kwa hiv/aids.
Yeah,letti na Lee walikufa kweli,Lee alikufa kwa ajali.was it a real death?
Ni tamthilia pekee ambayo nikiikosa naweza ugua.Kumbe unaifwatilia isidingo vizuri
Hahaha Gabriel ana swaga flani hivi ya kitapeli sema smart afu hakati tamaaIf George Zamdela is a Satan then Nina Zamdela is a min Satan pastor Gabriel kasha anza uchochezi
Scandal hiyo, katlego analiwa na jamaa mzungu sio?Unajua Sizwe yuko kwenye ile tamthilia nyingine jina limenitoka ambayo Katlego ndio yuko sasa pamaoja na Derek Nyati,kule Sizwe ni katili sana
Sizwe hayupo scandalScandal hiyo, katlego analiwa na jamaa mzungu sio?
Ni kweli kabisaNaona sura mpya zinazidi kuja isidingo,
kwa wale tulioanza nao,mimi namkumbuka oroginal aliebaki ni george zamdela,
maana hata barker alikujaga baadae kidogo
Hatujui wewe jiunge tu hapo tulipofikaHawa itv wapo episode ya ngapi
Siyo kweli pastor hakula mzigo wala nini. Alimzengea lakini hakumpata. Sizwe alikwenda hoteli tayari kwa fumanizi lakini alikuta pastor amelala chumba kingine ila alisahau koti.Sijasahau ila sikuiona hiyo sehemu ambayo pastor alikula mzigo, nnachokumbuka ni kua zuki alizimika na Pastor by that moment
Kusema kweli ka aphiwe nilikuwa nakatamani, nilipofuatilia details zake nkakuta kanipiga gap miaka kadhaa mbele, ikabd nkubali kumpa shikamoo yake.the only thing i like about this soapie, wahusika wanauvaa uhusika ipasavyo, mtu aki act kama mtoto basi anaonekana mtoto kweli kweli. mfano kama aphiwe katika hali ya kawaida wanavyomuigizisha utasema yuko 18 yrs na charlie ndo mkubwa kuliko yeye, kumbe aphiwe kampita charlie miaka minne mizima
Kana umri gn kwani?Kusema ka aphiwe nilikuwa nakatamani, nilipofuatilia details zake nkakuta kanipiga gap miaka kadhaa mbele, ikabd nkubali kumpa shikamoo yake.
29Kana umri gn kwani?