Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Naunga mkono hojakama hivyo ila Chase anasubiri sana kwa Sheldon
Naunga mkono hojakama hivyo ila Chase anasubiri sana kwa Sheldon
Doh!.. mwenyewe hivi vitabu ndo vilifungulia dimba novel za Sidney Sheldon..THE BOOKS I HAVE READ AS SO FAR I CAN REMEMBER (O-LEVEL MEMORIES)
1. THE OTHER SIDE OF MIDNIGHT
2. MEMORIES OF MIDNIGHT
Kipi katika hivyo kilikuvutia sana sonnita?Doh!.. mwenyewe hivi vitabu ndo vilifungulia dimba novel za Sidney Sheldon..
Of course THE OTHER SIDE OF MIDNIGHT ndo kilinvutia mnoo...nliiona novel ya kipekee sana.Kipi katika hivyo kilikuvutia sana sonnita?
Kweli mkuu, tafuta na Dooms Day Conspiracy, utakapo kianza hautakiweka chiniRage of Angels ni nouma!
Soft copy ZOTE zinapatikana PDFDRive.comVyote nilivyonavyo ni hard copy mkuu labda kwa anayeweza kutoa link ya soft copy humu jukwaani
Kweli mkuu, tafuta na Dooms Day Conspiracy, utakapo kianza hautakiweka chini
Kwenye Rage of Angels yupo Jenifer Parker mwanamke mwenye akili ya shria balaa
Vyote hivyo viwili vinautamu sawa na kama mtu anaanza kusoma Sheldon ni vizuri akaanza na mojawapo ya hivyo viwili, au Nothing Lasts Forever hakika hatojuta kwa kutumia muda wake kumsoma huyiu jamaaPamoja Sana mkuu!
Ngoja nikipitie na hicho cha doomsday conspiracy!
Ila Rage of Angels nakikubali Sanaa!
Vyote hivyo viwili vinautamu sawa na kama mtu anaanza kusoma Sheldon ni vizuri akaanza na mojawapo ya hivyo viwili, au Nothing Lasts Forever hakika hatojuta kwa kutumia muda wake kumsoma huyiu jamaa
tupo ila kuna wengine kama Mario Puzzo nao walitoa vitabu vikali
waandishi hao huwa wanafanya tafiti mpaka wanaandika kitu kinachofanana na uhalisiaMario puzo namkubali sana kwenye story za mafia gangs.
Huo analadha ya kipekee sana
Nothing Lasts Forever kiko very emotional. Pale unakutana na wale madaktari wadada wenye kipaji. Madaktari ambao wamezaliwa kuwa madaktari na sio wa kulazimisha. Nadhani ningekisoma hiki mapema nikiwa O Level kingenihamasisha niende mchepuo wa PCB nami nikasomee utabibuWakuu mi ndo nimemaliza kingine kinaitwa nothing lasts forever,
nilianza na Rage of Angels, nikaja na memories of the midnight.
Uandishi wa huyu nguli Ni balaa
Nothing Lasts Forever kiko very emotional. Pale unakutana na wale madaktari wadada wenye kipaji. Madaktari ambao wamezaliwa kuwa madaktari na sio wa kulazimisha. Nadhani ningekisoma hiki mapema nikiwa O Level kingenihamasisha niende mchepuo wa PCB nami nikasomee utabibu