yani pop nzima we ni edsheerankuna sehem kasema tutaje miziki ya zamani??
yani pop nzima we ni edsheerankuna sehem kasema tutaje miziki ya zamani??
ndiyo....na ww ni naniyani pop nzima we ni edsheeran
King Michael Jackson.....beat itndiyo....na ww ni nani
kwaio pop nzima na ww ni michael jckson?King Michael Jackson.....beat it
Utakuwa na shape bila shaka though wee ni mchagashape of you - edd sheeran.
huu wimbo siuchoki jmn kila siku nauona mpya
Napenda sana muziki wa pop. Ndio pop corn zikiwa zinaiva... pooo pooii puuuuu paà
MJ Mungu amulaze mahala pema peponi..amina.Hakuna ubishi kwamba huu muziki ndiyo unaosumbua zaidi kwa sasa duniani!! Chart mbali mbali duniani zimekuwa zikimezwa na huu muziki, Kuanzia Billboard, Uk top 40 na nyinginezo!
Imefika wakati waliokuwa wasanii wakubwa wa muziki wa RnB nao wamebebwa na upepo wa Pop, ina maana ili kazi yako ihit huko duniani basi nia shurti uimbe pop, Tumewashuhudia akina Jason Derulo, Rihanna, Beyonce hata akina Justin Timberlake wakibadilika ili kuendana na hii kasi!
Kwa kifupi RnB na Na hiphop ya miaka ya 90 mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000 ilikuwa tamu ila Pop ni tamu zaidi!!
Katika huu muziki wa pop napenda sana kuwasikiliza akina dada, na ninaowasikiliza zaidi ji pamoja na...
1. Demi Lovato
2. Selena Gomez
3. Ariana Grande
4. Katy Perry
5. Sia
6. Taylor Swift
7. Rachel Platten
8. Ellie Goudling
9. Fifth Harmony
10. Little Mix
Wasanii wa kiume wanaofanya vizuri sana kwa sasa ni pamoja na The Weeknd, Edd Sheeran, Charie Puth, Justin Bieber, Shawn Mendez na Bruno Mars
Je wewe unawaelewa zaidi wasanii wapi katika huu muziki, inasemekana Taylor Swift mpaka sasa ndiye kinara katika Pop, wengine wakaenda mbali na kudai yeye ndiye Pop Industry! Je unakubaliana na hili, kama siye nani anapaswa kuwa kinara wa pop music??
Ivi chris anaimba nini mkuu?Hakuna ubishi kwamba huu muziki ndiyo unaosumbua zaidi kwa sasa duniani!! Chart mbali mbali duniani zimekuwa zikimezwa na huu muziki, Kuanzia Billboard, Uk top 40 na nyinginezo!
Imefika wakati waliokuwa wasanii wakubwa wa muziki wa RnB nao wamebebwa na upepo wa Pop, ina maana ili kazi yako ihit huko duniani basi nia shurti uimbe pop, Tumewashuhudia akina Jason Derulo, Rihanna, Beyonce hata akina Justin Timberlake wakibadilika ili kuendana na hii kasi!
Kwa kifupi RnB na Na hiphop ya miaka ya 90 mpaka mwanzoni mwa miaka ya 2000 ilikuwa tamu ila Pop ni tamu zaidi!!
Katika huu muziki wa pop napenda sana kuwasikiliza akina dada, na ninaowasikiliza zaidi ji pamoja na...
1. Demi Lovato
2. Selena Gomez
3. Ariana Grande
4. Katy Perry
5. Sia
6. Taylor Swift
7. Rachel Platten
8. Ellie Goudling
9. Fifth Harmony
10. Little Mix
Wasanii wa kiume wanaofanya vizuri sana kwa sasa ni pamoja na The Weeknd, Edd Sheeran, Charie Puth, Justin Bieber, Shawn Mendez na Bruno Mars
Je wewe unawaelewa zaidi wasanii wapi katika huu muziki, inasemekana Taylor Swift mpaka sasa ndiye kinara katika Pop, wengine wakaenda mbali na kudai yeye ndiye Pop Industry! Je unakubaliana na hili, kama siye nani anapaswa kuwa kinara wa pop music??
amna...naupenda tuUtakuwa na shape bila shaka though wee ni mchaga
mbavu zangukwaio pop nzima na ww ni michael jckson?
That is goodamna...naupenda tu
ahaha vpmbavu zangu
Mnavyojibizanaahaha vp
Mnavyojibizana
RNB ile mkuuhv huyu passenger mbona hazungumziwi au ile siyo pop mazee