Wapenzi wa JUKE BOX tukutane hapa

Ride on time - Black box
Girl i'm gonna miss you - Nilli Vanilli
Careless Whisper - George Michael (R.I.P)
Who is that girl - Nu shooz
Candy girl - New edition
Time after time - Cyndi Lauper
Girl I'm gonna miss you - hii kitu
Imenikumbusha mambo flan hv ndani ya S'wanga....daaah!!! Hataree sana aisee.. Yaani, kitu flan lazima kifanyike mahali..
 
I don’t know anybody else- black box
Everybody everybody- black box
Love come down- evelyn king
Whats love got to with it - Tinna Turner
Simply the best - Tinna Turner
Black box nae alikuwa mkali sana, kuna ngoma yake ya RIDE ON, basi tulikuwa tunalanda na bit zake na kuimba....
"Papa John Paulo karibu Tanzaniaa

Hiyo ilikuwa ni baada ya ujio wa Papa John Paul Tanzania (1990)
 
Girl I'm gonna miss you - hii kitu
Imenikumbusha mambo flan hv ndani ya S'wanga....daaah!!! Hataree sana aisee.. Yaani, kitu flan lazima kifanyike mahali..
Dah! Enzi za O level, mambo ya blues, na ndo debe la mwisho, unafikiri utakavyommiss kweli baada ya pepa kwa sababu no phone, no fb no whatsapp, only P.O.BOX...
 
Anyway nianze hivi, muziki wa sasa bila kujali ni wa mtoni au bongo its almost km umepoteza ile flava yake.

Kwa upande wa muziki wa mtoni at least wenyewe stil unaishi na ndio maana hadi ss tunaweza kusikiliza nyimbo za 2000's, 90's 80's, na hata 70's. Ukweli ni kwamba baadhi ya pini za miaka hiyo ni kali na zuri zaidi can bring a lot of memories.

Mimi naweza kusema ni muhenga kwenye hizi nyimbo ingawa nyingine zimenizidi kbs umri but yet nazikubali sn na najua ku-swing kiaina, inapotokea nahitaji kwenda sehemu ambayo nitakonga moyo wangu basi huwa najongea The Alcade East 24 kwa peter mo-Mikocheni au Club Legends kwa John Dillinga ambao wote ni wakali sana wa hizi mambo.

wakongwe wachache ambao wakubali ni kama
Gerald Levert (RIP)
Surface,
Shalamar,
New Edition,
Nu shooz
James Ingram
Mark morison
Mc Hammer
Chaka Khan
Calyn white
Ice Mc
Johny gill (Solo)
Bobby Brown (Solo)
Soul for real
Jackson 5
hawa ni wachache hasa kwa 80's ambao nyimbo zao nyingi zimekuwa copied na kufanywa upya new skul ambazo zonabamba kwa ss!

Kwa upande wa 90's wapo
Kevon Edmonds
usher Raymond
Ashanti
Ashley ballad
Tyrese
Mary J
Vyette chelle
Monica Anorld
Brandy
Non challant
Luniz
Nate Doggy
Warren G
Fox brown
Lil kim
Hao ni wachache.....

Kesho ntaanza kuwawekea track zao tuwaonye kwa taste za kazi zao.

[HASHTAG]#iloveoldies[/HASHTAG]
Aint nobody hahahahaahaaaa
 
Aiseee kwa sasa huwa naenjoy mida ya jumamosi kuanzia saa 8 mchana naturn RFA aisee nakula mangoma toka kwa dj John,kisha saa moja jioni narudi kwa Peter Moore Clouds weekend hiyo kisha jumapili jioni East africa redio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom