Wa mmoja
Member
- Aug 4, 2009
- 99
- 0
Shirikisho la soka Tanzania TFF, limesema endapo klabu za simba na yanga zitasusia kucheza ligi kuu Tanzania Bara zitashuka daraja.
Timu hizo zimetishia kugoma baada ya kupewa kipato kidogo baada ya mchezo wa ngao ya jamii uliochezwa Agosti 18 katika uwanja wa Taifa DSM.
Zilipatikana milioni 222 lakini wao wanapewa milioni 33...
Hivi jamani hii ni haki kweli?!Wao ndio waliosababisha pesa hizo zipatikane halafu mnataka kuwabania!Pesa nyingine zinakwenda wapi?!
Timu hizo zimetishia kugoma baada ya kupewa kipato kidogo baada ya mchezo wa ngao ya jamii uliochezwa Agosti 18 katika uwanja wa Taifa DSM.
Zilipatikana milioni 222 lakini wao wanapewa milioni 33...
Hivi jamani hii ni haki kweli?!Wao ndio waliosababisha pesa hizo zipatikane halafu mnataka kuwabania!Pesa nyingine zinakwenda wapi?!