Wapendwa natafta soko la alizeti

Wapendwa natafta soko la alizeti

amayu

Member
Joined
May 1, 2019
Posts
9
Reaction score
4
Wapendwa natafta soko la alizeti, nnagunia 100,hpa singida gunia elfu 50,kwa anaehitaj au anaweza niunganisha na mtu anitafte kwa no 0766089646 ,ANIPIGIE KWAKUA SIWEZ KUREPLY MESSEJ HUMU, BADO ADMIN HAJANIAPPROVE
 
Wapendwa natafta soko la alizeti, nnagunia 100,hpa singida gunia elfu 50,kwa anaehitaj au anaweza niunganisha na mtu anitafte kwa no 0766089646 ,ANIPIGIE KWAKUA SIWEZ KUREPLY MESSEJ HUMU, BADO ADMIN HAJANIAPPROVE
Mkuu upo Singida maeneo gani na alizeti yako imepetwaa
 
Hasara kwa mnunuzi,gunia moja debe 6 hadi 7@ Bei inabidi iwe 24,000-28,000 au 30,000 hadi 35. Na debe moja linatoa wastani wa lita 3 hadi 5.
 
Peleka kwa mount meru pale ila hiyo bei kwa kipindi hiki cha mavuno huwezi pata.
 
Hello jf natafta mteja wa kununua mafuta ya alizet....kwa sh 55elfu,napatikana manyoni, nitafte kwa no hii 0766089646 ucni INBOX kwakua sitoweza jibu...ADMIN HAJANI APPROVE
 
Back
Top Bottom