Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,195
Kila mtu ana Starehe yake hapa Duniani,mwingine Anapenda sana pombe yaani yeye kwake pombe ndio kila kitu,mwingine kwenda club na kucheza muziki yaani huyu ukimnyima nafasi ya kwenda huko tu anaweza pata homa ya ghafra,
Kuna wengine wanapenda mpira kuliko
kitu chochote,
ile leo hapa Uzi huu ni kwa wale wapenda Papuchi au dushelele kama ndio Starehe yao kubwa,
Walevi wana uzi wao tayari bado sisi wapenda Papuchi au dushelele,
Kiukweli mimi sina starehe yeyote duniani ninayoipenda kama mbunye naweza kughairi ata kwenda kupokea mshahara au dili la pesa mingi kisa papuchi tu,
Zero iQ mimi sinywi pombe,siendi club,siyo mfuatiliaji wa mpira wala kitu kingine chochote ukitaka kuniteka nitege kwa papuchi tu .
Kuna wengine wanapenda mpira kuliko
kitu chochote,
ile leo hapa Uzi huu ni kwa wale wapenda Papuchi au dushelele kama ndio Starehe yao kubwa,
Walevi wana uzi wao tayari bado sisi wapenda Papuchi au dushelele,
Kiukweli mimi sina starehe yeyote duniani ninayoipenda kama mbunye naweza kughairi ata kwenda kupokea mshahara au dili la pesa mingi kisa papuchi tu,
Zero iQ mimi sinywi pombe,siendi club,siyo mfuatiliaji wa mpira wala kitu kingine chochote ukitaka kuniteka nitege kwa papuchi tu .
