Wapalestina sio watu wakuwapa msaada makazi ndio maana waarabu wenzao waligoma

Wapalestina sio watu wakuwapa msaada makazi ndio maana waarabu wenzao waligoma

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Wenye imani na kuwaonea uchungu wapalestina nendeni mkawachukue ila siku mtajikuta nyie ndio mkipigwa viboko.

Hawa watu bora tu mataifa yawatambue waachiwe taifa lao ila sio kwenda kwenye mataifa mengine.
 
Wenye imani na kuwaonea uchungu wapalestina nendeni mkawachukue ila siku mtajikuta nyie ndio mkipigwa viboko.

Hawa watu bora tu mataifa yawatambue waachiwe taifa lao ila sio kwenda kwenye mataifa mengine.
Basi hakuna jamii ngumu kuishi nayo kama Wayahudi, wao ndio wanajiona ni binadamu wa daraja la kwanza hapa Duniani.
 
Au wachanganyikane na wasomali wa somalia na wale waafrika wa nigeria kaskazini, watakaa pamoja kweli au watavurugana? Kwa maana wote ni waislam wapenda vita na ni wafuasi wa mohamadi, wana imani moja, ni kweli watatulia kwa kuwa wote ni waislam au watafanyiana ushenzi wa kuuana badala ya kukaa kwa amani waabudu uislam wao wanaoutukuza kuwa ni dini ya amani?
 
Wenye imani na kuwaonea uchungu wapalestina nendeni mkawachukue ila siku mtajikuta nyie ndio mkipigwa viboko.

Hawa watu bora tu mataifa yawatambue waachiwe taifa lao ila sio kwenda kwenye mataifa mengine.

Wapalestina kuendelea kuwa pale kunawauma sana. Uzuri ni kuwa pale hawaondoki kwa gharama yoyote!
 
Kwani yule jambawazi anayeshikilia ardhi ya wenzake bado angali ang'ang'ana?
WAPALESTINA NI WAVAMIZI KWA MUJIBU WA QURAN

Qur’an inataja wazi kuwa ardhi takatifu (Ardhi ya Kanaani/Palestina) ilipewa kwa Waisraeli (wana wa Israel). Kuna aya kadhaa zinazolitaja hilo:

Qur’an 5:20–21

Na Musa akawaambia watu wake

“Enyi watu wangu! Kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu juu yenu, alipowafanya manabii miongoni mwenu, na akakufanyeni wafalme, na akakupeni msichopewa yeyote katika walimwengu. Enyi watu wangu! Ingieni katika ardhi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuwekeeni, wala msirudi nyuma, msije mkageuka wakhasiri.”

Qur’an 17:104

Na baada ya Firauni, tukawaambia Wana wa Israel: “Kaeni katika ardhi; na utakapokuja ahadi ya Akhera, tutawakusanya pamoja.”

Qur’an inakiri kuwa Mwenyezi Mungu aliwapa Waisraeli ardhi hiyo kama urithi.

Musa aliwahimiza watu wake waingie katika Ardhi Takatifu ambayo tayari imewekwa kwa ajili yao.

WAPALESTINA NI WAVAMIZI
 
kama issue ni mateka maana yake una maanisha oktoba 6 2023 kurudi nyuma walikua huru ? , kuna muda watu mtumie akili sio kufata mob
Hao ni wavamizi wanatakiwa waondoke hapo

Na wataondoka
 
Hao ni wavamizi wanatakiwa waondoke hapo

Na wataondoka

AIPAC ina hali mbaya sana huko mkuu , mstue na echolima ni suala la muda.


waondoke wanaenda wapi mkuu kama wangoni tu wametoka kwa madiba? kina trump wenyewe tu wengi wametoka ulaya? "UPENDO" gang hili suala linawafichua vizuri sana maana mnasemaga kobazi hawana "upendo"

tafakari sana
 
AIPAC ina hali mbaya sana huko mkuu , mstue na echolima ni suala la muda.


waondoke wanaenda wapi mkuu kama wangoni tu wametoka kwa madiba? kina trump wenyewe tu wengi wametoka ulaya? "UPENDO" gang hili suala linawafichua vizuri sana maana mnasemaga kobazi hawana "upendo"

tafakari sana
Quran yenu ndio inawaumbua ,hao Wapalestina kasome historia waliletwa na nani hapo hata hilo jina Palestine wamepewa na wamagharib waliowaweka hapo


Kama tukisoma Qur’an yenyewe, inaonyesha wazi kwamba ardhi mnayosema ya Palestina WALIPEWA Waisraeli

Surah Al-Ma’idah 5:21

“Enyi watu wangu! Ingieni katika ardhi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amewaandikia...”

➡️ Hapo Musa anawaambia Waisraeli (Bani Israil) kwamba Mungu amewaandikia ardhi hiyo. Si Waarabu, si Wapalestina bali Waisraeli.

Surah Ash-Shu’ara 26:59
“Na tukawarithisha wana wa Israil.”

Surah Al-A’raf 7:137
“Na tukawarithisha watu waliokuwa wakidharauliwa (Wana wa Israeli) mashariki ya ardhi na magharibi yake, tuliyoibariki...”

Kwa hiyo Qur’an yenu inakiri kwamba
1️⃣ Ardhi ya Kanaani (Palestina) ilichaguliwa kwa ajili ya Waisraeli.
2️⃣ Wapalestina wa leo (ambao ni Waarabu) walikuja baadaye kihistoria.
3️⃣ Hivyo, kwa mujibu wa Qur’an yenyewe, Wapalestina ni wavamizi wa ardhi ya Waisraeli.
 
AIPAC ina hali mbaya sana huko mkuu , mstue na echolima ni suala la muda.


waondoke wanaenda wapi mkuu kama wangoni tu wametoka kwa madiba? kina trump wenyewe tu wengi wametoka ulaya? "UPENDO" gang hili suala linawafichua vizuri sana maana mnasemaga kobazi hawana "upendo"

tafakari sana
Nakusaidia hili pia maana nyie wenzetu siasa za Dunia hamjui zinavyokwenda

Mchakato mzima wa maamuzi ya dunia unaamuliwa USA na Ulaya magharibi. Hao ndio wakisema taifa la Palestina liwepo litakuwepo, nje ya hao hakuna linalowezekana. Toka wazungu wa magharibi wameanza vuguvugu la kutaka taifa la Palestina, mataifa mengine nayo yameunga juhudi. Lakini maamuzi hayo hayatapita maana USA imepinga kwa veto. Na imeshafanya hivyo zaidi ya mara 40. Labda USA ibadilishe maamuzi ama ianguke ndio itawezekana. Trump ni pro Israeli.
 
Nakusaidia hili pia maana nyie wenzetu siasa za Dunia hamjui zinavyokwenda

Mchakato mzima wa maamuzi ya dunia unaamuliwa USA na Ulaya magharibi. Hao ndio wakisema taifa la Palestina liwepo litakuwepo, nje ya hao hakuna linalowezekana. Toka wazungu wa magharibi wameanza vuguvugu la kutaka taifa la Palestina, mataifa mengine nayo yameunga juhudi. Lakini maamuzi hayo hayatapita maana USA imepinga kwa veto. Na imeshafanya hivyo zaidi ya mara 40. Labda USA ibadilishe maamuzi ama ianguke ndio itawezekana. Trump ni pro Israeli.
ofcourse marekani ni kizuizi kikubwa , hizi politics nazifahamu na nazifatilia

na kuhusu recognition mataifa mengi yalishafanya recognition zamani sana mengi pale lilipojitangaza rasmi na mengine yakafata kila taifa kwa muda wake...

waliokua wamebaki ni mataifa haya makubwa makubwa ya ulaya(na hata yale madogo madogo ila yapo umoja wa ulaya) , amerika na watu kama kina japan na korea ya mabishoo mimi sio kilaza nafatilia na kufanya maamuzi binafsi



alafu mkuu wafia dini wengi nyinyi mtu akipiga dongo ukristo basi ni kabazi, akipiga dongo uislamu basi ni mgalatia hivi hii dunia dini ni mbili tu? kwamba usipokua real madrid wewe ni barcelona? huoni kwamba anaweza timu yake ikawa inatoka epl? ligi kuu bongo? au sio mtu wa mpira ni mtu wa basket? au sio mdau wa michezo kabisa - tumia akili

huwa mnajifanya sana waumini wa dini ila hakuna kinachowasaidia kuna siku kulikua na mjadala humu kuna muumini mmoja nikawa najenga hoja na ikabidi hadi nioneshe nipo imani sawa na yeye lakini wapi hoja haikufua dafu sababu ya ufia dini



wewe jenga hoja usiweke assumption mtu fulani ni dini gani kama hajakueleza na kukiri - tumeelewana masta
 
Quran yenu ndio inawaumbua ,hao Wapalestina kasome historia waliletwa na nani hapo hata hilo jina Palestine wamepewa na wamagharib waliowaweka hapo


Kama tukisoma Qur’an yenyewe, inaonyesha wazi kwamba ardhi mnayosema ya Palestina WALIPEWA Waisraeli

Surah Al-Ma’idah 5:21

“Enyi watu wangu! Ingieni katika ardhi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amewaandikia...”

➡️ Hapo Musa anawaambia Waisraeli (Bani Israil) kwamba Mungu amewaandikia ardhi hiyo. Si Waarabu, si Wapalestina bali Waisraeli.

Surah Ash-Shu’ara 26:59
“Na tukawarithisha wana wa Israil.”

Surah Al-A’raf 7:137
“Na tukawarithisha watu waliokuwa wakidharauliwa (Wana wa Israeli) mashariki ya ardhi na magharibi yake, tuliyoibariki...”

Kwa hiyo Qur’an yenu inakiri kwamba
1️⃣ Ardhi ya Kanaani (Palestina) ilichaguliwa kwa ajili ya Waisraeli.
2️⃣ Wapalestina wa leo (ambao ni Waarabu) walikuja baadaye kihistoria.
3️⃣ Hivyo, kwa mujibu wa Qur’an yenyewe, Wapalestina ni wavamizi wa ardhi ya Waisraeli.
quran , bible kwenye huu mgogoro mimi mtu akivitaja tu hivyo vitabu na kuniambia imeandikwa , imetabiriwa na unabii unatimia ( maana mpaka sasa kwenye kila kitabu kila mt anakwambia unabii unatimia) namuona hana akili , huu msimamo nipo nao kitambo sana
 
quran , bible kwenye huu mgogoro mimi mtu akivitaja tu hivyo vitabu na kuniambia imeandikwa , imetabiriwa na unabii unatimia ( maana mpaka sasa kwenye kila kitabu kila mt anakwambia unabii unatimia) namuona hana akili , huu msimamo nipo nao kitambo sana
Huwezi kukwepa dini kwenye huu mgogoro labda ujitoe fahamu tu
 
Back
Top Bottom