Wanyenyekevu hushinda. (world cup rant)

Wanyenyekevu hushinda. (world cup rant)

Nani bora nani sio bora ni mitizamo ya kihisia zaidi ila tumefanikiwa kuona wachezaji na waliodumu kwenye kiwango cha juu Kwa zaidi ya miaka 10, sidhani kama Kuna kizazi kitapa hiyo bahati.
Hapana kwa numbers na kila kitu Ronaldo kazidiwa. Hisia ziwepo zisiwepo. Nilisema ubora kwa namna ya kuweka perspective ila we all know Messi is the 🐐. Of course kila kizazi na magwiji wao ila the talk of the town ni hawa
 
Hapana kwa numbers na kila kitu Ronaldo kazidiwa. Hisia ziwepo zisiwepo. Nilisema ubora kwa namna ya kuweka perspective ila we all know Messi is the 🐐. Of course kila kizazi na magwiji wao ila the talk of the town ni hawa
Ronaldo amecheza kwenye Ligi tatu bora na kote amecheza Kwa kiwango cha juu na kushinda Mataji makubwa wakati messi ameshindwa Fanya hivyo.
 
Ronaldo amecheza kwenye Ligi tatu bora na kote amecheza Kwa kiwango cha juu na kushinda Mataji makubwa wakati messi ameshindwa Fanya hivyo.
Duuh mbona hicho kigezo kama hakina weight simtetei Messi ila japo kuwa Ronaldo kaonesha peak kote kote ila bado Messi kafanya makubwa kumzidi Ronaldo. Sio ki statistics tu bali hata performance wise
 
Duuh mbona hicho kigezo kama hakina weight simtetei Messi ila japo kuwa Ronaldo kaonesha peak kote kote ila bado Messi kafanya makubwa kumzidi Ronaldo. Sio ki statistics tu bali hata performance wise
Ukiondoa Barcelona Messi kwingine hakuwai na performance hiyo
 
Let's close this Hawa ni wachezaji wazuri nani bora zaidi ya mwenzie tuachie tu hisia na mapenzi binafsi
Sawa but numbers never lie ni kujifariji ukiwa unajua kabisa ukweli
 
Weka number hapa goals, assist, na trophy
You're not serious 😁😁

Mfikie hatua muwe mnaukubali ukweli Messi ni Jini sio mtu yule

Nimetoka YouTube Leo nilikuwa nina tizama mahojiano ya Ronaldo delima akiwa na romalio kumbuka hao ni watu wenye experience wameuishi mpira Kwa kushiriki kuucheza wanajua hisabati zake na wanajua wanacho kifanya na kukuona nitofauti ya Mimi na wewe ambao ni mashabiki tu

Basi walikuwa wana ulizwa na Hosts Je ni yupo mchezaji Bora kati ya pele maradona na Messi

Ronaldo delima amesema wazi kabisa kwamba alipofikia Messi maradona na Pele it's very very hard to choose who's better

Huyo ni Ronaldo delima ndiye katamka maneno hayo gwiji wa soccer anaye heshimika duniani

Halafu wewe na wenzako mnakuja hapa kubisha tu kwamba eti cr7 is better , you dude Hivi unahisi hata unachokiwaza sawa sawa kweli !?

Maana kwanza ncheke 😄
 
Messi na Ronaldo wote ni GOAT utofauti wa CR7 upo sehemu Moja Messi ni Alien na CR7 ni extra ordinary
Cr7 hayupo hata kwenye top 5 ya wachezaji wa muda wote duniani

Mean while Nguli wote wa mpira duniani wana muweka Messi kwenye top 3 battle ya pele maradona na Messi akiwepo

So Hao wanao jaribu kumfananisha Messi na cr7 Huwa wamechanganyikiwa ama ni Nini !?

Kwanza Kwa ile mechi ya majuzi tu Kwa ule mpira alioupiga Messi Akiwa katika ule umri alio nao na mambo anayo yafanya it's a miracles ilitosha tu kuwafanya wanao muweka same level Messi na Ronaldo waone haya

Lakini ndio hivyo Tena ushabiki maandazi ume watawala period
 
Cr7 hayupo hata kwenye top 5 ya wachezaji wa muda wote duniani

Mean while Nguli wote wa mpira duniani wana muweka Messi kwenye top 3 battle ya pele maradona na Messi akiwepo

So Hao wanao jaribu kumfananisha Messi na cr7 Huwa wamechanganyikiwa ama ni Nini !?

Kwanza Kwa ile mechi ya majuzi tu Kwa ule mpira alioupiga Messi Akiwa katika ule umri alio nao na mambo anayo yafanya it's a miracles ilitosha tu kuwafanya wanao muweka same level Messi na Ronaldo waone haya

Lakini ndio hivyo Tena ushabiki maandazi ume watawala period


Messi ni Alien sio binadamu wa kawaida
 
Duniani tujipojitazama familia ya Messi itatawala mpira duniani

Anawatoto watatu wakiume Thiago ,Mateo na siro. shughuli yahawa watoto sio ndogo baba Yao atakipiga na shindano la mwaka 2030 baada yahapo wanapokea watoto.....

Hao akina siro watakujua kuoa na kuzaa watoto wao kazi ipo
 
Cr7 hayupo hata kwenye top 5 ya wachezaji wa muda wote duniani

Mean while Nguli wote wa mpira duniani wana muweka Messi kwenye top 3 battle ya pele maradona na Messi akiwepo

So Hao wanao jaribu kumfananisha Messi na cr7 Huwa wamechanganyikiwa ama ni Nini !?

Kwanza Kwa ile mechi ya majuzi tu Kwa ule mpira alioupiga Messi Akiwa katika ule umri alio nao na mambo anayo yafanya it's a miracles ilitosha tu kuwafanya wanao muweka same level Messi na Ronaldo waone haya

Lakini ndio hivyo Tena ushabiki maandazi ume watawala period


CR7 na Messi , Pele na Maradona Hawa watu don't underated anyone ktk hii list


Ila Messi ni Alien .

Kwahiyo Top five Messi anakaa namba Moja
 
You're not serious 😁😁

Mfikie hatua muwe mnaukubali ukweli Messi ni Jini sio mtu yule

Nimetoka YouTube Leo nilikuwa nina tizama mahojiano ya Ronaldo delima akiwa na romalio kumbuka hao ni watu wenye experience wameuishi mpira Kwa kushiriki kuucheza wanajua hisabati zake na wanajua wanacho kifanya na kukuona nitofauti ya Mimi na wewe ambao ni mashabiki tu

Basi walikuwa wana ulizwa na Hosts Je ni yupo mchezaji Bora kati ya pele maradona na Messi

Ronaldo delima amesema wazi kabisa kwamba alipofikia Messi maradona na Pele it's very very hard to choose who's better

Huyo ni Ronaldo delima ndiye katamka maneno hayo gwiji wa soccer anaye heshimika duniani

Halafu wewe na wenzako mnakuja hapa kubisha tu kwamba eti cr7 is better , you dude Hivi unahisi hata unachokiwaza sawa sawa kweli !?

Maana kwanza ncheke 😄
Ronaldo delima anaheshima yake kwenye soka haiondoi upendeleo wa kibinadamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom