Mwaka jana nililima heka 5 nkapata gunia 55 ndo hivyo mkuu na kilimo chetu cha kibongo kisichofuata ushauri wa kitaalam nguvu kubwa mavuno kidogo this yr nimelima heka 7 nasikilizia ntapata gunia ngapHeka 6 gunia 70 mpaka 100 kweli? Wewe unacheza sio mkulima, mkulima wa kweli kila heka 1 gunia zaidi ya 45, Hivyo heka 6 ni zaidi ya gunia za mpunga 270.
Bila kuweka sawa hesabu nakuona tapeli mkuu kweli tena.
hapana wala hawanizingui hizo ni hari za kawaida kabisa katika biashara, changamoto zao ndio zinazonijenga zaidinyiwe mnao mzingua huyu muuza mpunga ni wateja au"?
okay, ntakuchek kesho mungu akiniamsha vyema maana leo kidogo nahisi kimalaria, ila huko mdibule ndio wapi mkuuMi nanunua niko mdibule, kama hutojali nichki ktk 0714588737
Tutafanya biashara
soma comment no 9, mwanzo wa hii post utaona bei ya bidhaa yangu ndugubei gani
brother samahan vp kukodi mashamba ya kulima huko turian ni kiasi gana kwa eka mojasoma comment no 9, mwanzo wa hii post utaona bei ya bidhaa yangu ndugu
Gunia 45 kwa heka 1 kwa kilimo cha kutegemea mvua si kweli hata kidogo. Yeye anauza kile ambacho atapata, kama gunia 5 au 10 ndicho atakachouza.Heka 6 gunia 70 mpaka 100 kweli? Wewe unacheza sio mkulima, mkulima wa kweli kila heka 1 gunia zaidi ya 45, Hivyo heka 6 ni zaidi ya gunia za mpunga 270.
Bila kuweka sawa hesabu nakuona tapeli mkuu kweli tena.
shamba wanakod kwa. tsh. 100,000 kwa hekal but sori ctakua najibu kwasasa sababu naumwa na. nimelazwa katika hospitar teule ya Bwagara Tulian. so nikipata nafuu nitajbu na kushere. mawazo nanyibrother samahan vp kukodi mashamba ya kulima huko turian ni kiasi gana kwa eka moja
Pole sanashamba wanakod kwa. tsh. 100,000 kwa hekal but sori ctakua najibu kwasasa sababu naumwa na. nimelazwa katika hospitar teule ya Bwagara Tulian. so nikipata nafuu nitajbu na kushere. mawazo nanyi
get well soon mjasirimali mwenzetushamba wanakod kwa. tsh. 100,000 kwa hekal but sori ctakua najibu kwasasa sababu naumwa na. nimelazwa katika hospitar teule ya Bwagara Tulian. so nikipata nafuu nitajbu na kushere. mawazo nanyi
nashukuru mungu jana ijumaa nimeruhusiwa, nipo nyumbani nimejipumzisha ila kama kuna anaehitaji maelezo kuhusu hiki kilimo cha mpunga au anahitaji mapunga au mchele nawakaribisha tena tuzungumzeget well soon mjasirimali mwenzetu
bonde la usangu liko wapi hilo ndugu?, i mean liko mkoa gani?Bonde la usangu ukilima eka 1 gunia 30 ukifanya uzembe sana 25.. Assume umelima eka 6. 30*6=180
Ila bei ya sasa ndio utakimbia 110,000/gunia.
Sijui huko kwenu changamoto ni nini
Nikweli anachosema nipo morogoro pia navuna mpunga tuna heka 5 lakini mpunga ni km gunia 60 ...hatutumii madawa wala mbolea ya kiwandani ukipanda ni kung'olea na kuvunaAiseee me hata nlikua na,shda na
Mchele lakin kwa hzo hesabu zake
Za hekar 6 gunia 70
Haziingian kabsa
Huyu kuna ambao hata waacha salama
mkuu hivi turiani huko kuna mto? je gharama ya mbegu sh ngapi?bonde la usangu liko wapi hilo ndugu?, i mean liko mkoa gani?
upo morogoro seem gani mkuuNikweli anachosema nipo morogoro pia navuna mpunga tuna heka 5 lakini mpunga ni km gunia 60 ...hatutumii madawa wala mbolea ya kiwandani ukipanda ni kung'olea na kuvuna