Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,484
Mbaya kwa kweliiii
Video mbayaaa....video queen alikua anambaka Ommy.Yani vixen giant! Hawakuendana kabisa na ommy.
Mbaya kwa kweliiii
Video mbayaaa....video queen alikua anambaka Ommy.Yani vixen giant! Hawakuendana kabisa na ommy.
Hapo kinachofuatwa ni kama baadhi ya wachangiaji walivyosema, ukifanya kazi na directors wa bondeni ni rahisi kazi zako kuonekana kwenye channels kubwa coz mtu kama Godfather ashaaminika huko kwamba kazi zake ni za viwango. Bongo nowdays tunajitahidi pia, tungekuwa na mkono huko kuna baadhi ya kazi zinaviwango kabisa ya kuchezwa kwenye tv kubwa, mfano PACHA WANGU ya MAVOCO iliyotengenezwa na AJ ni video nzuri sana,inastahili kuchezwa tv yoyote
Suala hapa ni project, wanjera ilikuwa by the way tu!
Hiyo video ina quality sababu Adam alikodi camera za huko na vifaa vingine...Angetumia ile camera yake lazima ungelalamika kiza.
what project?/
Maana kusema kweli wanjera is not a song that you can watch twice... it is a very bad video, haiendani na mwimbo kabisa
Project btn him and madame!
Wanjera was just by the way!
ahaaaaaaaaaa...... :A S-frusty::doh::doh::doh::doh:
:heh::heh::heh::heh::heh: