Wanjera, nothing special

Wanjera, nothing special

Kuna hili wimbi la wasanii kwenda South Africa kufanya shooting za nyimbo zao,Binafsi sijaona ubora wowote wa video ya Ommy dimpoz na Wanjera yake, nilidhani kufunga safari all the way to South africa tungepata something new, ila sijaona...kwa jinsi ilivyo, nafuu tu hiyo video ingefanyiwa shooting hapa Bongo, angeserve gharama za kusafri hadi huko south Africa.Halafu hata maudhui yake sijaelewa, aliyeelewa anisaidie, may be am a slow observer.

Kweli kwenda south kipoteza hela tu na show off isiyo na tija ili ionekane wameshutia video ila quality ya video sio nzuri in terms of colour ila idea ya video ni nzuri bora wawe wana shoot hapa nyumbani mana hadi beat ni za south inafanya bongo fleva kukosa ladha yake na kutoka tofauti ana na south inafanya mziki wetu usitambulike kima taifa
 
Wimbo wa hovyo, video hovyo hovyo! Wasabi hebu umizeni kichwa! Ommy dimples, Ally kiba nyimbo zenu mbaya kiukweli, Linex kajitahidi

Mkuu ally kiba ni msanii mzuri/mkali na ule wimbo uko powa sema video haikuwa powa
 
video ya ommy haijatumia akili ndogo. kwa tunaojuamasuala ya shooting tunajua ugumu na wepesi. kwa ubunifu hii ya ommy inaweza kuwa juu kuliko ya dimond no one. tatizo kwa dimpoz ni audio yake. hii kazi isingewezekana kufanyikia hapa bongo kwa ubora ule.
 
Dah kweli tunatofautiana
mbona me naona iko vizuri tu... na inaburudisha, kwa kweli me naona quality iko poa na idea ya machizi nayo iko fresh tuu
Me nafikiri kinachowapeleka sauzi ni kutafuta kutoboa kimataifa maana video ikitoka ikishaonekana imefanywa na producer fulani tu lazima ichezwe na vituo vya TV vya kimataifa

Jamaangu upo sawa na mawazo yangu. Mi sijajua wabongo huwa wanapenda video za muziki za aina gani? Alichofanya Ommy sio kibaya coz yeye ameangalia kupeleka mziki wake kwenye soko la kimataifa thats why ameenda kyfanyia kule. Na inawezekana hata script ya video ya ule wimbo kaandaa mtu mwingine yeye kaelekezwa jinsi ya kufanya tu.
Kuna wakati wabongo tubadilike, tuachane na kudis kusikokuwa na sababu...au video kama ile angefanya fulani ndo mngeipa marks?
Tubadilike..
 
Linex uukungu mwingi no clear image

mkuu masandare jina lako limenikumbusha somewhere mbele kidogo ya same secondary nilikuwa naenda sana pande hizo kunywa chai,sasa sijui wewe ni mwenyeji wa masandare?
 
Last edited by a moderator:
Sio video zote wanazofanya south zipo poa kivile..nyingine kama za bongo tu..na kuna video nyingi tu za kibongo zina ubora kuliko hizo za south...sema moja ya sababu inayowapeleka huko ni kwamba ma-director wa huko wanakusaidia kuipush video yako kwenye tv za kimataifa..kitu ambacho ma-director wengi wa bongo hawakifanyi

Hii ni kweli..koz kibongo bongo videos nyingi quality take bado sanaa...so msanii anaona japo apate shavu la kutoa angalau video bora kuliko kukosa vyote, yani wimbo mbaya na video mbaya. Mi nimeucheki jana though sijapenda maudhui na wimbo in general ila video ilinivutia kiukwelii..koz hawa sijui ma godfather daah jamaa wanafanya kweli when it comes kwenye video industry, yaani unajikuta unaangalia video nzima mpaka inaisha hata kama ulikua huna mpango!

Afu nilijua majamaa wa Kenya kumbe bondeniii, duuh! Kama kuna video mpya ya Jaguar (huu mwaka lazima nami nipate) ni ya ukweli!

By the way, ile kiss ya mwisho ya wema na dimpoz ni real au mi ndo sikuonaa vizuri!?? huhuhu
 
Kuna hili wimbi la wasanii kwenda South Africa kufanya shooting za nyimbo zao,Binafsi sijaona ubora wowote wa video ya Ommy dimpoz na Wanjera yake, nilidhani kufunga safari all the way to South africa tungepata something new, ila sijaona...kwa jinsi ilivyo, nafuu tu hiyo video ingefanyiwa shooting hapa Bongo, angeserve gharama za kusafri hadi huko south Africa.Halafu hata maudhui yake sijaelewa, aliyeelewa anisaidie, may be am a slow observer.

Ni kweli kuna directors wakali wengi tu bongo wanaoweza kutengeneza videos nzuri sana lakini kinachofuatwa South ni zaidi ya hicho; na si kingine ni kupata airtime vituo vikubwa kama Trace Tv, Sound City, MTV, Box Tv, na BET na hii hutokana na urahisi unaopatikana kutokana na anaposambaza video director anayejulikana kama Godfather, Mr Moe Mussa na Director X kuwataja wachache (Mfano angalia video za kina Diamond, Alikiba na Ommy Dimpoz kupata premiere vituo vikubwa Africa siku video inatoka). Kuhusu video ya Ommy Dimpoz tuache tu ushabiki tukizungumzia ukweli video ni nzuri japokuwa upande wa Audio ni ya kawaida sana.. Story iliyoko kwenye video ni nzuri na pia Idris kuwepo kule kumeongeza kuchangamsha video hivi.. Mavazi wameyapatia kabisa na vile vituko na style ya uchezaji ni nzuri..
 
Nikiweka ushabiki pembeni, kwa video za miezi ya karibuni kutoka SA zilizo na quality (Technical Quality) ni mbili tu... ya Nitampata Wapi ya Diamond na kwa kiasi fulani ya Mwana ya Ali Kiba! Ya Kiba, technical wise ipo vizuri sema tu haina artistic work! Hawa unaweza kuona ni kipi hasa walikifuata huko SA!

Kama mtu una uwezo wa kulipia pesa ya kutosha ya kufanya video SA, ni bora coz' wale jamaa inakuwa ni rahis kwao ku-push kazi zao kwenye well know stations kama ilivyo kwa Adam Juma itakavyomuwea rahisi kuzi-push EATV! Hawa directors wa kwetu hawana access hiyo bado.

Don' forget... hapa hakuna suala la uzalendo... it's all about business! Tunaweza kuzungumzia uzalendo endapo mathalani, video themes inaonesha vivutio mbalimbali vya utalii vya nchi nyingine(for this context, SA) wakati umelipa kwa pesa yako!
 
Ni kweli kuna directors wakali wengi tu bongo wanaoweza kutengeneza videos nzuri sana
Naomba unitajie directors wachache kati ya hao wengi wanaoweza kufanya video nzuri zaidi au kama ya hizo wanazofanyia SA, na mfano wa moja wa video zao unazoona ni nzuri.
 
Mi nahisi labda ni kionjo tu maana promo za huko IG zilinivutia, sasa hata kimoja sijakiona ktk video.Tusubir project iendelee.
 
Bongo hakuna good video directors, angalia video hzi mbili za madee na chege na temba. Ni good location tu, hakuna story line, watu wanatembea mara wako chumbani. Hapo ndio AJ anapochemsha, hata mm ningekuwa msanii nisingeweza peleka kazi zangu kwake. Angalia video za God father. Kuanzia hii wanjela, mdogo mdogo, nitampata wapi. Unaona kuna extras kama 20 hv, yaani watu professional sio eti unaita masela kwenye kushoot.
 
Tatizo la bongo hao wanaojiita directors hua hawa shoot video zao kwa qualities wanazozitaka au international standards za huko South Africa, mfano google how to submit music video to Mtv base Africa, channel o au trace uone wana qualities wanazozitaka sidhani kama hawa directors wa bongo wanafanyaga hivyo, lakini camera wanazotumia inawezekana zikawa ni tatizo mfanohuwezi compare nikon d3200 au canon 5d mark ii na kitu kinaitwa arri alexa em google uone nini ninaongelea.

Pia PC wanazo tumia nadhani ni chini ya kiwango mfano huwezi tengeneza video fresh kwa kutumia pc yenye 4 gb ram maana kuna madude ya 16gb ram huko zina render video fresh kabisa tenaku proove video production TZ ni mbovu jaribu kuangalia video zao kwenye tv yenye inches kubwa i.e 43" unaviona vi frame rates vimegandana gandana au video na sauti haziendi sawa sawa rangi kuchanganya hawajui etc etc na huko S.A sidhani kama kuna oooh mchizi shika mshiko nichezeee video hii nitoke....nigga please
 
Muziki ni biashara, so watu wanaangalia bizness zaidi. Kinachowapeleka south ni quality ya picha za video. Vituo vikubwa vinazingatia sana quality na idea ya video, wanapocheza video wakianza kupiga video ya Chris brown,wakaja ya rihana,wakaja ya kanye west alafu ikaja ya kiafrica mfano ya p squairw bas kusiwe na tofauti ya kiivo kiasi mtu akakimbilia remote ku change..Pata picha imechezwa we dem boyz ya wiz,ikaja hold u down ya djkhaleed kisha ikaja mama neema ya 20 percent watu wanang'aa km vitumbua.

Hili la kwenda south lisichukuliwe negative kiasi hicho, ishu ni unaenda sauz umejipangaje coz godfather au wengine kazi yao ni kudirect, script na kila kitu unajipanga mwenyewe ukitaka farasi utaletewa ukitaka helkopta utaletewa. Mbona Adam alienda na Mavoko wakakodi izo Led quality zile zile.

Hahaha hahaha ety wanang'aa ka vitumbua hahaha hahaha
 
Bongo hakuna good video directors, angalia video hzi mbili za madee na chege na temba. Ni good location tu, hakuna story line, watu wanatembea mara wako chumbani. Hapo ndio AJ anapochemsha, hata mm ningekuwa msanii nisingeweza peleka kazi zangu kwake. Angalia video za God father. Kuanzia hii wanjela, mdogo mdogo, nitampata wapi. Unaona kuna extras kama 20 hv, yaani watu professional sio eti unaita masela kwenye kushoot.

Mbona hujazungumzia Mwana inayoanza jamaa anaimbia kioo?
 
Hapo kinachofuatwa ni kama baadhi ya wachangiaji walivyosema, ukifanya kazi na directors wa bondeni ni rahisi kazi zako kuonekana kwenye channels kubwa coz mtu kama Godfather ashaaminika huko kwamba kazi zake ni za viwango. Bongo nowdays tunajitahidi pia, tungekuwa na mkono huko kuna baadhi ya kazi zinaviwango kabisa ya kuchezwa kwenye tv kubwa, mfano PACHA WANGU ya MAVOCO iliyotengenezwa na AJ ni video nzuri sana,inastahili kuchezwa tv yoyote
 
Hapo kinachofuatwa ni kama baadhi ya wachangiaji walivyosema, ukifanya kazi na directors wa bondeni ni rahisi kazi zako kuonekana kwenye channels kubwa coz mtu kama Godfather ashaaminika huko kwamba kazi zake ni za viwango. Bongo nowdays tunajitahidi pia, tungekuwa na mkono huko kuna baadhi ya kazi zinaviwango kabisa ya kuchezwa kwenye tv kubwa, mfano PACHA WANGU ya MAVOCO iliyotengenezwa na AJ ni video nzuri sana,inastahili kuchezwa tv yoyote
Promo moja ya sababu, ila na hata ubora wa kamera wanazotumia na vifaa vingine vya kufanyia na kuhariria video ni moja ya sababu zinazowapeleka SA kwa wasanii wanataka video nzuri. Mfano mzuri tunamuamini sana Adam Juma, ila angalia na linganisha kazi zake alizofanya akiwa SA na zile alizofanyia TZ ubora wake ni tofauti kabisa, ndio tujiulize ni kwa nini ziwe tofauti wakati muongozaji ni huyo huyo mmoja.
 
ukiangalia mwimbo wa Eminem - slim shady kideo ni copy kabisa hata simulizi yaani wamejaribu kidogo kubadili

na nesi wa slim shady wamevaa kinesi sio kama wanjera kavaa kihuni sidiria na maziwa nje.
 
video imebeba ujumbe ambao si rahisi kuelewa ukitaza kwa haraka jamaa wametumia idea ya kipekee,ni zaidi ya ubunifu
 
Back
Top Bottom