Wanjera, nothing special

Wanjera, nothing special

Jack Beur

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2010
Posts
222
Reaction score
246
Kuna hili wimbi la wasanii kwenda South Africa kufanya shooting za nyimbo zao. Binafsi sijaona ubora wowote wa video ya Ommy dimpoz na Wanjera yake, nilidhani kufunga safari all the way to South Africa tungepata something new, ila sijaona...

Kwa jinsi ilivyo, nafuu tu hiyo video ingefanyiwa shooting hapa Bongo, angeserve gharama za kusafri hadi huko south Africa. Halafu hata maudhui yake sijaelewa, aliyeelewa anisaidie, may be am a slow observer.
 
Uko sahihi, hlo la kwenda kwa uhuru sijui na godfathr ni geresha tu.
Hawa vijana wanatumiwa na ma lord ya sembe wanapeleka matani kwa matani, then wanazawadiwa video na production.

Na mchezo mzima unaanzia paaleee ....mitaa ya mbezi.
 
Kuna hili wimbi la wasanii kwenda South Africa kufanya shooting za nyimbo zao,Binafsi sijaona ubora wowote wa video ya Ommy dimpoz na Wanjera yake, nilidhani kufunga safari all the way to South africa tungepata something new, ila sijaona...kwa jinsi ilivyo, nafuu tu hiyo video ingefanyiwa shooting hapa Bongo, angeserve gharama za kusafri hadi huko south Africa.Halafu hata maudhui yake sijaelewa, aliyeelewa anisaidie, may be am a slow observer.

Suala hapa ni project, wanjera ilikuwa by the way tu!
 
Kweli mkuu binafsi pia haijanibariki, bora mara 100 ya jux aliyefanya shooting yake beach
 
Kwa kuwa ipo katika mikono ya wenye huu muziki huu wimbo utapigwa mpaka ngoma za masikio zitoboke mwisho wa siku utaupenda tu.
 
Kwa kuwa ipo katika mikono ya wenye huu muziki huu wimbo utapigwa mpaka ngoma za masikio zitoboke mwisho wa siku utaupenda tu.

Kama promo la yule wa kucheketua
 
Uko sahihi, hlo la kwenda kwa uhuru sijui na godfathr ni geresha tu.
Hawa vijana wanatumiwa na ma lord ya sembe wanapeleka matani kwa matani, then wanazawadiwa video na production.

Na mchezo mzima unaanzia paaleee ....mitaa ya mbezi.

Hata mm najiulizaga, maisha na kazi havifanani. I mean gharama na maisha yao haviendani:what:😕🙄
 
Mimi mwenyewe si hate wala nini ila ukiangalia hapa tanzania hamna ambacho kingeshindikana kufanyika yaani ni kutudhalilishia mavideo producer wetu kwamba wameshimdwa kuproduce uo utoto wao
 
hii video ya chege na temba sijaona kipya walichofuata huko bondeni.

ila upande wa video ya ommy dimpoz ile comedy kama imevutia, wangefanya bongo ingekuwa kituko.
 
teh bora tu walienda sweetheart wa wa tz akapata fursa ya kumuona don
 
Sio video zote wanazofanya south zipo poa kivile..nyingine kama za bongo tu..na kuna video nyingi tu za kibongo zina ubora kuliko hizo za south...sema moja ya sababu inayowapeleka huko ni kwamba ma-director wa huko wanakusaidia kuipush video yako kwenye tv za kimataifa..kitu ambacho ma-director wengi wa bongo hawakifanyi
 
Wimbo wa hovyo, video hovyo hovyo! Wasabi hebu umizeni kichwa! Ommy dimples, Ally kiba nyimbo zenu mbaya kiukweli, Linex kajitahidi
 
Dah kweli tunatofautiana
mbona me naona iko vizuri tu... na inaburudisha, kwa kweli me naona quality iko poa na idea ya machizi nayo iko fresh tuu
Me nafikiri kinachowapeleka sauzi ni kutafuta kutoboa kimataifa maana video ikitoka ikishaonekana imefanywa na producer fulani tu lazima ichezwe na vituo vya TV vya kimataifa
 
Dah kweli tunatofautiana
mbona me naona iko vizuri tu... na inaburudisha, kwa kweli me naona quality iko poa na idea ya machizi nayo iko fresh tuu
Me nafikiri kinachowapeleka sauzi ni kutafuta kutoboa kimataifa maana video ikitoka ikishaonekana imefanywa na producer fulani tu lazima ichezwe na vituo vya TV vya kimataifa

Muziki ni biashara, so watu wanaangalia bizness zaidi. Kinachowapeleka south ni quality ya picha za video. Vituo vikubwa vinazingatia sana quality na idea ya video, wanapocheza video wakianza kupiga video ya Chris brown,wakaja ya rihana,wakaja ya kanye west alafu ikaja ya kiafrica mfano ya p squairw bas kusiwe na tofauti ya kiivo kiasi mtu akakimbilia remote ku change..Pata picha imechezwa we dem boyz ya wiz,ikaja hold u down ya djkhaleed kisha ikaja mama neema ya 20 percent watu wanang'aa km vitumbua.

Hili la kwenda south lisichukuliwe negative kiasi hicho, ishu ni unaenda sauz umejipangaje coz godfather au wengine kazi yao ni kudirect, script na kila kitu unajipanga mwenyewe ukitaka farasi utaletewa ukitaka helkopta utaletewa. Mbona Adam alienda na Mavoko wakakodi izo Led quality zile zile.
 
Back
Top Bottom