Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Kwa Viuno hao Hawajambo! Nawakubali Sana Wangoni na Nina Bahati Nao Kweli ila tu Akikukpenda Usimsaliti Kwani Visasi Vyao VINAUMA KWELI! Ni Wataalam pia Wa Kulia Kimahaba na Wanachangamsha Mno Kitandani.
Wewe jamaa upo sahihi 100%. Imenikuta hyo,nimemsaliti demu wa kingoni.. Aiseee!! Nimejuta,kanidhalilisha,kanitia aibu haswa.. Kaja kwangu bila kitu chochote lakini nilishangaa familia yao ilipodai kuwa amechuma kila kitu na mimi,mara ananidai milioni 1,mara wakaanza kupiga simu upande ulionifanya nimwache kuwa wasimruhusu bint awe na mimi kwa 7bu bado hatujagawana mali. Nilifadhaika sana,tena sana! Wangoni watu wabaya sana! Wafupi lakin wana visasa vya kinyama,hawakubali yaishe hv hv,nahc wanaweza hata kukuroga uzazi wale!