Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,935
- 13,019
libesa mau libesa dadii haahahaa
ibesa mau kutova mwana mkiva! ena ena!!
libesa mau libesa dadii haahahaa
kabila gani hupend?
ok tinna cute nimekupenda toka bottom of my heart. Nataka tuwe wapenzi aha aha aha aha aha natania tu ila kana ukweli ndani yake.
ibesa mau kutova mwana mkiva! Ena ena!!
Katika jamii za Kibantu tumelelewakatika maisha ya utandi uliyosaidia kuleta udugu na utengamano na umoja wataifa hili na kuondoa ukabila! Nachotaka kusema watani zangu Wangonina Wamatengo ukiwapapesa wanafikisha, ila ukimpatia mwanamke imekula kwako! tatizo lingineWamatengo wanatofauti na wamatengo, ila hata wamatengo nao wanajifanya Wangonihapo wananiacha hio! Wana JF hebu tuambie kabila la watani zako wanasifagani maarufu?
Siangalii kabila money talks but for now nataka hawa wangoni nitest.
mbona ni ngoni pekee hao wamatengo wako wapi mjomba maana thread imekuwa dominated na ngoni.sijaona wakizungumzia wamatengo
enaaa enaaaaaaaaa
Pia tunapenda ushirikiano sana" msengwile valongo zangu¤2,navina kumanya ahee,ngati chama cha bwina" ikhmaansha ahsanteni ndugu zangu,sikua najua kama undugu ni mzuri' huo wimbo huwa unaimbwa wakati wa sherehe baada ya kufupa/kutuza:
Wangoni kwa mdudu a.k.a ktimoto ni balaa. Kila bar ya komon au myakaya lazima pembeni kuwe na bucha la mdudu.na mishkaki ni mia 2 tu(hapo kilabuni kuna wimbo unapgwa"niwuka lepa hadi nimale ugimbi_siondoki hadi pombe iishe) hyo inaenda hadi sa9 usiku
Ah hapo unaambiwa haiwezekani mpaka nimale ugimbi
Sa ivi nikitongozwa nauliza kabila kwanza.....
mkuu unataka kutambika
huna sababu ya kutambika ur a super woman bwanaikinibidi..
Aisee nimefurahi kweli ya.ni hii post imenikumbusha mbali..nashukuru Mungu kuwa mngoni..
Kaka zangu wangoni monili..ingawa mim ni mngoni wa dot com ila najifunza lugha kidogo kidogo
huna sababu ya kutambika ur a super woman bwana