Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Katika jamii za Kibantu tumelelewakatika maisha ya utandi uliyosaidia kuleta udugu na utengamano na umoja wataifa hili na kuondoa ukabila! Nachotaka kusema watani zangu Wangonina Wamatengo ukiwapapesa wanafikisha, ila ukimpatia mwanamke imekula kwako! tatizo lingineWamatengo wanatofauti na wamatengo, ila hata wamatengo nao wanajifanya Wangonihapo wananiacha hio! Wana JF hebu tuambie kabila la watani zako wanasifagani maarufu?
Usituletee za kuleta hapa, na hao wanawake ambao unadai huwa hawafiki salama wanakuwa wa kabila gani...??? Ndola kumihu ko, keta mene...