"Katika jamii za Kibantu tumelelewakatika maisha ya utandi uliyosaidia kuleta udugu na utengamano na umoja wataifa hili na kuondoa ukabila! Nachotaka kusema watani zangu Wangonina Wamatengo ukiwapapesa wanafikisha, ila ukimpatia mwanamke imekula kwako! tatizo lingineWamatengo wanatofauti na wamatengo, ila hata wamatengo nao wanajifanya Wangonihapo wananiacha hio! Wana JF hebu tuambie kabila la watani zako wanasifagani maarufu?"
Mawazo hayo ni ya kijima na inastaajabisha kuona yakitolewa na mgagagigikolo anayeishi katika karne hii ya dijiti!! pia inashangaza na kufurahisha sana. yaani wangoni wakware zaidi kuwapita hata wapare? wamwera na wahaya!!!