Wangoni na wamatengo waogopeni

Wangoni na wamatengo waogopeni


Katika jamii za Kibantu tumelelewakatika maisha ya utandi uliyosaidia kuleta udugu na utengamano na umoja wataifa hili na kuondoa ukabila! Nachotaka kusema watani zangu Wangonina Wamatengo ukiwapapesa wanafikisha, ila ukimpatia mwanamke imekula kwako! tatizo lingineWamatengo wanatofauti na wamatengo, ila hata wamatengo nao wanajifanya Wangonihapo wananiacha hio! Wana JF hebu tuambie kabila la watani zako wanasifagani maarufu?

wachaga watani, lkn ni mavi maaavi.
 
Tatizo la wangoni Wanamalingo sana..
Nimewah kukumbana na kadhia za kuambiwa hivyo na mabint kwa mara kadhaa ila nadhan ni mitazamo yao,kama wangoni wana maringo WAHAYA wananini?Mil10 ya Mboga!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom