Wangoni na wamatengo waogopeni

Wangoni na wamatengo waogopeni

Kwenye kuchagua wake tunakumbushwa na wimbo huu(ngati wigana mdala aaah,tola mdala wa bwina¤2,akoto kuyiva mayao kwa mgunda wa vandu) ikimaanisha,kama unataka mke chagua yule mzuri asije akaiba mihogo shambani mwa watu. Ntarudi ngoja nkamchek kapuya
 
Alinambia nisimtanie (Mngoni) nami natunza siri; ila - ni kiboko ya majambozi kitandani.
 
ninapotaka mimi ni hapo tu!*2,hiiiihiiii hapo ndiooooo.Mtani hapo mna maana gani?
 
Hahahaha....ila napenda kuwasikia wakiongea...lugha ina utamu fulani hivi

kwa kweli wanavutia, si umeona hata wanavyoandika humu kwenye hii thread..............its very interested
 
Katika jamii za Kibantu tumelelewakatika maisha ya utandi uliyosaidia kuleta udugu na utengamano na umoja wataifa hili na kuondoa ukabila! Nachotaka kusema watani zangu Wangonina Wamatengo ukiwapapesa wanafikisha, ila ukimpatia mwanamke imekula kwako! tatizo lingineWamatengo wanatofauti na wamatengo, ila hata wamatengo nao wanajifanya Wangonihapo wananiacha hio! Wana JF hebu tuambie kabila la watani zako wanasifagani maarufu?

Mbwitu kutuhombosa..!!
 
Mkuu Adrian Stepp,Mie watani wangu ni wazee wa kujining'iniza,wala panya,wazee wa chaghulagha,ombaomba,,ndg zangu wapogoro na mabaunsa wa mbeya. Sijui huyu mjinga yupo kwny kundi lipi! ila siye ndo mashujaa wa vita,
CC: wangoni wote.
Hao kwenye red , usiwaseme sana, maana ukiwasema utaambiwa mara ya mwisho alionekana akienda dukani kununua kamba!!
 
Mambo ya lizombe hayo. Hususan kwa wale jamaa wa Litembo.

Namkumbuka hapa mzee wangu Dr Njako au Mzee wangu Maj gen Lupogo. Enzi hizo kwa Dr waya pale Peramiho.

Hongera sana
 
Back
Top Bottom