Wangapi wanamkumbuka Umsolopagaas?

Mkuu fanya kunimention kwenye hiyo link ya kitabu.. Tafadhali mkuu
 
Kitabu kinaitwa Mashimo ya mfalme Suleman ( King Solomon's mine's ) kilichotungwa na Rider Haggard. Pia yumo Makumazan, Bibi Gagula nk.
 
Tupe story kidogo basi kuhusu yeye wengine tupo mikoani hatujui tutakipata wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…