Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,416
- 21,813
Mpaka december tr kama ya leo itakua 3000.Leo tarehe 21/02/2019 , $ ni 2418 mamaee march kama Leo itakuwa 2500
Mpaka december tr kama ya leo itakua 3000.Leo tarehe 21/02/2019 , $ ni 2418 mamaee march kama Leo itakuwa 2500
Mbona Kenya na Uganda zipo stable kwa sasa na shilingi zao zinaimarika dhidi ya dola?
uchambuzi mzuri ila tusubili wakina polepole waje na ubao mweupe na makapeni wajadili uchumiView attachment 1008116
Nilitamani kuweka hichi kitu siku nyingi ila jana nimenunua dola kwa Sh 2325 nikaona hapana itabidi niweke ili bandiko la utafiti kidogo.
In short ni kwamba dola ipo kwenye kipindi muhimu sana kwa sababu huu ni wakati ambao inakuvuka highest high ya mwaka 2015 wakati rate ilipokuwa kwenye 2335 na kuvuka huku kuna maana moja kubwa sana kwangu kwamba 'Banki kuu haina nguvu tena ku stabilize the exchange rate in the economy' (in my OPINION)
Kipindi cha nyuma mwaka 2015 baada ya dola kufika around 2335 kama unavoona kwenye chart hapo juu, Banki kuu ilikuwa na mabavu ya kuongeza supply (ujasi) wa dola kwenye uchumi kutoka kwenye reserve ambayo ili hit moja kwa moja kwenye mabenk ambayo automatically ikashusha bei ya dola kwa momentum ambayo ni kubwa mpaka kwenye level ya 2000 kwa dola moja mwanzoni mwa mwaka 2016.
Unaweza ukashangaa nguvu hiyo imepotea vipi kwa wakati huu, kwanini wasifanye kama kipindi cha nyuma? its simple kuna mambo yafuatayo
1) Japo ni kweli kwamba Banki wanaweza kuwa na reserve ya dola ila wanakosa uthubutu kwa wakati huu kwasababu moja kubwa -- kuna uncertanties kubwa mno kwa sasa inayotishia inflow ya dola kwa wakati ujao. So automatically Bank kuu hawawezi kuthubutu kumwaga supply ya dola kwenye uchumi ili kuimarisha shilingi maana kufanya hivo ina maana wanajiweke kwenye hatar ya kukausha foreign reserve ya nchi which is dangerous kwa kipindi hiki. Ukikaukiwa dola halafu una external debt ipo kwenye dola maana yake unaiweka shillingi yako rehani coz itabidi uishushe zaidi ili uattract inflows za dola ambayo inaweza kuwa janga kubwa mnoo.
2) Ujasi wa fedha (TZS) kwenye uchumi bado sio wa kuridhisha namaanisha (money supply growth kwa kipindi hiki bado ipo kwenye record low.. so any attempt ya kuongeza dolla kwenye uchumi inamaana bank kuu watabidi kununua shillingi iliyopo kwenye uchumi ili dola iweze kuingia kwenye mzunguko na rate iweze kushuka.. But kulingana na hali ya uchumi ya sasa hivi, kupunguza supply ya shillingi maana yake ni kupunguza money supply growth ambayo directly inaenda ku hit ukuuaji wa uchumi kama tulivolalamika mwaka 2017 (utasakia laymen wanasema Magu kabana kumbe ni kwamba ujasi wa fedha haukui kwenye uchumi kama ilivokuwa kipindi cha nyuma)
Kuna issue nyingine kama
- Ukuuaji wa deni la taifa la nje by now ni kama USD 24 billion hivi... hii nayo inachangia pakubwa kuzorota kwa shillingi nazani ntajipanga next time kuelezea kwenye mada yake (mzozo wa madeni unaonukia Tanzania)
- Kuna issue ya nakisi katika account ya biashara .. na moja wapo ya mambo yanayosababisha hata issue pia ya korosho ipo maana imagine kama nchi ilikuwa ina uhakika wa kupata USD zaidi ya million 500 kila mwaka halfu automatikally haipo tena. (Hata hii ni sababu kwanini nimeona kwamba miaka mitatu ijayo dola inaweza kuwa zaidi ya 2500
Kwa hali ilivo hakuna matumaini hii dolla kwamba itakaa ishuke tena. It seems Banki kuu kama wamesalimu amri. Tegemeo lao pekee ni kwamba inflation ipo bellow 4% na hiyo inatokana zaidi na stabilization ya bei ya chakula.
Na tuzidi tu kuomba Mungu inflation inendelee kuwa hapa ilipo.. Ikianza kupanda na huku shilingi inaporomoka nadhani tutatafutana mpaka chini ya uvungu. Hao tunaowaita mabeberu nao nadhani hii point wanaingoja sana ifike. (Wale watu washenzi wewe usione wamekaa kimya)
GOD Forbid!Mwezi wa 4/5 dola moja itafika shilingi 2,450.
Haijafika maeneo hayo?GOD Forbid!
Kwa kasi hii, very possible.Leo tarehe 21/02/2019 , $ ni 2418 mamaee march kama Leo itakuwa 2500
Utaambiwa Lissu anasababisha
Leo kununua ni 2400+ per 1$GOD Forbid!
Inaelekea 3,000. Sijui kuna niniView attachment 1008116
Nilitamani kuweka hichi kitu siku nyingi ila jana nimenunua dola kwa Sh 2325 nikaona hapana itabidi niweke ili bandiko la utafiti kidogo.
In short ni kwamba dola ipo kwenye kipindi muhimu sana kwa sababu huu ni wakati ambao inakuvuka highest high ya mwaka 2015 wakati rate ilipokuwa kwenye 2335 na kuvuka huku kuna maana moja kubwa sana kwangu kwamba 'Banki kuu haina nguvu tena ku stabilize the exchange rate in the economy' (in my OPINION)
Kipindi cha nyuma mwaka 2015 baada ya dola kufika around 2335 kama unavoona kwenye chart hapo juu, Banki kuu ilikuwa na mabavu ya kuongeza supply (ujasi) wa dola kwenye uchumi kutoka kwenye reserve ambayo ili hit moja kwa moja kwenye mabenk ambayo automatically ikashusha bei ya dola kwa momentum ambayo ni kubwa mpaka kwenye level ya 2000 kwa dola moja mwanzoni mwa mwaka 2016.
Unaweza ukashangaa nguvu hiyo imepotea vipi kwa wakati huu, kwanini wasifanye kama kipindi cha nyuma? its simple kuna mambo yafuatayo
1) Japo ni kweli kwamba Banki wanaweza kuwa na reserve ya dola ila wanakosa uthubutu kwa wakati huu kwasababu moja kubwa -- kuna uncertanties kubwa mno kwa sasa inayotishia inflow ya dola kwa wakati ujao. So automatically Bank kuu hawawezi kuthubutu kumwaga supply ya dola kwenye uchumi ili kuimarisha shilingi maana kufanya hivo ina maana wanajiweke kwenye hatar ya kukausha foreign reserve ya nchi which is dangerous kwa kipindi hiki. Ukikaukiwa dola halafu una external debt ipo kwenye dola maana yake unaiweka shillingi yako rehani coz itabidi uishushe zaidi ili uattract inflows za dola ambayo inaweza kuwa janga kubwa mnoo.
2) Ujasi wa fedha (TZS) kwenye uchumi bado sio wa kuridhisha namaanisha (money supply growth kwa kipindi hiki bado ipo kwenye record low.. so any attempt ya kuongeza dolla kwenye uchumi inamaana bank kuu watabidi kununua shillingi iliyopo kwenye uchumi ili dola iweze kuingia kwenye mzunguko na rate iweze kushuka.. But kulingana na hali ya uchumi ya sasa hivi, kupunguza supply ya shillingi maana yake ni kupunguza money supply growth ambayo directly inaenda ku hit ukuuaji wa uchumi kama tulivolalamika mwaka 2017 (utasakia laymen wanasema Magu kabana kumbe ni kwamba ujasi wa fedha haukui kwenye uchumi kama ilivokuwa kipindi cha nyuma)
Kuna issue nyingine kama
- Ukuuaji wa deni la taifa la nje by now ni kama USD 24 billion hivi... hii nayo inachangia pakubwa kuzorota kwa shillingi nazani ntajipanga next time kuelezea kwenye mada yake (mzozo wa madeni unaonukia Tanzania)
- Kuna issue ya nakisi katika account ya biashara .. na moja wapo ya mambo yanayosababisha hata issue pia ya korosho ipo maana imagine kama nchi ilikuwa ina uhakika wa kupata USD zaidi ya million 500 kila mwaka halfu automatikally haipo tena. (Hata hii ni sababu kwanini nimeona kwamba miaka mitatu ijayo dola inaweza kuwa zaidi ya 2500
Kwa hali ilivo hakuna matumaini hii dolla kwamba itakaa ishuke tena. It seems Banki kuu kama wamesalimu amri. Tegemeo lao pekee ni kwamba inflation ipo bellow 4% na hiyo inatokana zaidi na stabilization ya bei ya chakula.
Na tuzidi tu kuomba Mungu inflation inendelee kuwa hapa ilipo.. Ikianza kupanda na huku shilingi inaporomoka nadhani tutatafutana mpaka chini ya uvungu. Hao tunaowaita mabeberu nao nadhani hii point wanaingoja sana ifike. (Wale watu washenzi wewe usione wamekaa kimya)
Tumepatikana watanzania.. ngoja tuone mwisho utakuwajeNa alivyo mjinga maamuzi yake yatakuwa kama ya korosho... Tunalo awamu hiii
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Yeye hana muda wa kutafuta.. Anasubiri waje wenyewe..solution pekee ni kutafuta wawekezaj wakubwa kutoka nje kama dangote na kufanya external trade la sivyo we are finished !
Ooohh ndio maana majuzi nikiwa naenda kanda ya ziwa nimekutana na tankers nyingi sana za Mount Meru zikielekea Rwanda..Leo hii nimeambiwa nitume invoice na client wangu mmoja anilipe ASAP. Analipa creditors wake na anahamia Rwanda (biashara yake hapa inafungwa). Mount Meru (Oil company) nao wame-relocate biashara yao kubwa Rwanda. Jiwe hajui alifanyalo.
Gesi ya Mtwara wazungu wamefunga operations zao wamesepa..Russia waliweza ku Stablize kwa sababu wao wana Export mno Ges na mafuta na Natural resources zingine.
sisi sijui kama tuna expoer ile Gesi ya Mtwara hata
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha kuuza, nini? Kununua $ ilikuwa 2420 toka kitambo mbona? Kuuza ndio ilikuwa chini ya 2400 mpaka jana.Leo kununua ni 2400+ per 1$