Wangapi mna moyo Kama huyu dada?

Wangapi mna moyo Kama huyu dada?

Yataka moyo japo nasikia walemavu wako so creative in the field
 
Mimi nilidhani bongo lol! Kama ni huko kwa wenzetu hayo mambo yanawezekana lakini kwa bongo labda huyo jamaa awe ni RIZ ONE.
 
inahitaji moyo wa upendo wa agape kweli yani umpende kidhati na umthamini kidhati
katika hali njema au mbaya na huo ndo tunaauita upendo wa kiagape kabisa
 
sio wote wako hivyo besti ni wachache tu ndo wako hivyo
wengine upendo uko ndani moyo na ni upendo ule wa kumpenda mtu hasa utu wake
Kijuujuu haya ndo mapenzi ya kweli. Ila kwa kuwafahamu wadada wa siku hizi walivyo ninashawishika kusema kwamba huenda huyo bwana pamoja na hali yake ana mikwanja mirefu.
 
Ana moyo kama Ana Paula wa kwenye,''THE ONE WHO COULDN'T LOVE''.
 
Hiyo sura mbona inafanana na mr whitedent wa rwanda
 
Huyo mwanaume atachapiwa vibaya sana

Yaani umeliona hilo tu? Ndoa ni zaidi ya hivo ukute very responsible,anajali na mengi mazuri.....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom