Wangapi mna moyo Kama huyu dada?

Wangapi mna moyo Kama huyu dada?

Hii haihitaji moyo, inahitaji mapenzi kutoka pande zote mbili. Mwanaume yeyote anaejitambua, mwenye akili, mwenye mapenzi na alie na mtazamo chanya wa maisha anapendeka tu.


Si kwa mademu wa kibongo, we unaongea tu.
 
Hapana, mimi binafsi nimeshashuhudia watu wameoa na kuolewa na walemavu. Unamkumbuka yule msanii (Jembe?) wa ze comedy? Mkewe mlemavu, simkumbuki jina? Hudhani kama jamaa angekuwa na mwanamke mrembo si ajabu angemuacha kitandani akawahi wazee wa mjini?

Shida ya ulemavu ni kumpata mwenye kujiamini na asietumia ulemavu wake kama sababu ya kushindwa maisha. wasiokuwa walemavu wanafulia kiuchumi, wanaugua, wanakuwa cheated, wanapoteza kazi etc. ulemavu ni limitation tu ya baadhi ya mambo, na sio kikwazo!

You have said it well!

Disability is not Inability!
 
Back
Top Bottom