Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,396
- 17,992
Kwa heshima zote dada yangu naomba usiwasemee watu, acha wanao hisi kuguswa wachangie.Hatupo tayari kuchangia gharama zozote.
Kwani wabunge kazi yao nini? Si kutunga na kurekebisha sheria? Nenda kawakinaishe wabadili sheria kama unaona una hoja ya maana.
Usituletee mambo ya michango hapa. Tuliyonayo tumboni inatutosha.
Uzuri mdau kaweka na utambulisho wake hivyo atafuatiliwa vizuri kusiwe na ulaghai.