Wangapi humu tunaijua hii?

Wangapi humu tunaijua hii?

Kwa kweli mie sijawahi ila wakati nipo chuo nilimsikia roommate wangu analalamika lizee lake linamfanya humo mie sitting room, bath room na kitandani ndio zangu

jaribu siku moja kwenye gari hutaacha kitamu kweli cha kwenye gari. Muulize miss chagga atakwambia
 
Last edited by a moderator:
hahahaa! Dah ww mbabe, kwahyo ikawa ni mgalagazano kwakwenda mbele.

Mkuu uliwezaje maana hizi mambo zetu inafikia hatua inalala dolo kwahyo inakawaje hapo

lazima ujikaze manake ukilegea napata uhakika wa 90% utashindwa kujitetea,
 
vitamu kweli kama cha kichakani vile

umenikumbusha cha kichakani nilivyokuwa JKT si unajua kule ukame balaa, baada ya kumaliza zile six week tukaanza kupangwa malindo. Nilipangwa lindo moja nikakutana na kanafunzi flan kalikuwa kanasoma kawawa sec, ikabidi nikabananishe bhana ila nakula mambo nashangaa risas zinapigwa kule waliko wenzangu mzuka wote ulikata nikakurupuka nakimbia kwenda kufika kwa wenzangu nikajikuta sina kofia na ile york ya maji hata sikukumbuka niliangushia wapi. Cha vichakan sio
 
Yani viumbe wazito hawa acha tuu. .. eti akatunisha misuli eeh ulijuaje watu wana do kwenye gari basi utakuwa unafanyaga humu ww ndio maana unawahisi wenzio nikabaki namuangalia dume zima kujitoa akili

wanajua kugeuza kesi unaweza ukashangaa makosa yote yanakurudia wewe,
 
Kwenye gari hakuna kuvua chup,, inasogezwa pembeni ya kamfereji kidogo kupata upenyo na shughuli inaendelea.
 
Jamani hata jinsi ya kuondoa harufu ya condon ni shughuli balaa, hasa hizi condom wameweka harufu ya matunda fulani sizitaki kabisa. Duh, machangudoa, I like yeh all.
 
hzio ukiogea tu zinaganda mwilini balaa

Alafu zinapausha uso balaa! sasa ukute ndio huna mafuta ya kujipaka mtu unaanza kuomba omba kwa wahudumu reception! nao tena ukute wanayale malosheni ya ya kuchanganya na glcerine yaani mytu mzima unaumbuka live live!!
 
Sijui wanaambianaga....popote utakapoenda utakakuta halafu kwa kunukia sasa...kama umetoka kuchepuka ukaogea nyumbani lazima uzushe kesi.
 
Back
Top Bottom