Wangapi humu tunaijua hii?

Wangapi humu tunaijua hii?

Ile achana nayo ilishaniumbua sitak kabisa

hahahahaa! Ulienda kucheza friend match?
Siku moja hapakutosha na kiota. Ile nafungua mlangu nikaona mtu ananikazia macho nakaa nakuta ananisogelea mwilin na kunikwida hahahaaa! Acha kabisa sasa hivi mm naenda na kipande cha jamaa kabisa hivi visabuni staki hata kuvigusa
 
juzi nilisikia harufu yake baada ya mr kuingia ndani nikamwambia hongera naona ofisini wameimprove wanawapa na tu Eva twa kuogea akaanza ooh hamna mke wangu hiyo ni perfume mpya nimekununulia angalia kwenye mfuko, nikamwambia huko unakopita mie nilitoka zamani ila nashukuru kwa perfume yenye harufu ya Eva
 
hahahahaa! Ulienda kucheza friend match?
Siku moja hapakutosha na kiota. Ile nafungua mlangu nikaona mtu ananikazia macho nakaa nakuta ananisogelea mwilin na kunikwida hahahaaa! Acha kabisa sasa hivi mm naenda na kipande cha jamaa kabisa hivi visabuni staki hata kuvigusa
ha ha hah bora utembee na sabuni yako au usitumie kabisa hiyo sabuni sababu ohoooooooo utafuta ngumi
 
juzi nilisikia harufu yake baada ya mr kuingia ndani nikamwambia hongera naona ofisini wameimprove wanawapa na tu Eva twa kuogea akaanza ooh hamna mke wangu hiyo ni perfume mpya nimekununulia angalia kwenye mfuko, nikamwambia huko unakopita mie nilitoka zamani ila nashukuru kwa perfume yenye harufu ya Eva

dah! Pole mkuu kwahyo mr alitafuna mnafu wa nje hahaa.
Njoo na ww umalizie hasira kwangu si alimwaga mboga naww mwaga ugali au unasemaje?
 
ha ha hah bora utembee na sabuni yako au usitumie kabisa hiyo sabuni sababu ohoooooooo utafuta ngumi

Aaahhhaha kwa kweli bora nitembee na mbuniii hizi bna cjui zipoje basi wanasifa wenye hotel..... wanaziweka mbili
 
juzi nilisikia harufu yake baada ya mr kuingia ndani nikamwambia hongera naona ofisini wameimprove wanawapa na tu Eva twa kuogea akaanza ooh hamna mke wangu hiyo ni perfume mpya nimekununulia angalia kwenye mfuko, nikamwambia huko unakopita mie nilitoka zamani ila nashukuru kwa perfume yenye harufu ya Eva

Mbabeeee ww??? Unanikumbusha siku moja nilikuta kondom moja kwenye gari ya mr.. akasema eti akimpa gari best yake ndio amemsahau nikamwambia huko najua sana ulikuwa na demu humu uka do naye
 
dah! Pole mkuu kwahyo mr alitafuna mnafu wa nje hahaa.
Njoo na ww umalizie hasira kwangu si alimwaga mboga naww mwaga ugali au unasemaje?

mie unafikiri nalipa! nshatoka huko sasa hivi nimejituliza nalea wanangu.
ila nilichokifanya ni kumpigisha game ya kibabe mpaka asubuhi akachelewa ofisini akaenda kupambana na maboss zake huko,
 
Mbabeeee ww??? Unanikumbusha siku moja nilikuta kondom moja kwenye gari ya mr.. akasema eti akimpa gari best yake ndio amemsahau nikamwambia huko najua sana ulikuwa na demu humu uka do naye

mie gari nilimwambia akimpa mtu bila sababu natoboa tyre naona kaacha, manake mara lije lina lipstick mara harufu hazieleweki sijui walikua wanafanya Lodge!
 
mie gari nilimwambia akimpa mtu bila sababu natoboa tyre naona kaacha, manake mara lije lina lipstick mara harufu hazieleweki sijui walikua wanafanya Lodge!

Yani viumbe wazito hawa acha tuu. .. eti akatunisha misuli eeh ulijuaje watu wana do kwenye gari basi utakuwa unafanyaga humu ww ndio maana unawahisi wenzio nikabaki namuangalia dume zima kujitoa akili
 
mie unafikiri nalipa! nshatoka huko sasa hivi nimejituliza nalea wanangu.
ila nilichokifanya ni kumpigisha game ya kibabe mpaka asubuhi akachelewa ofisini akaenda kupambana na maboss zake huko,

hahahaa! Dah ww mbabe, kwahyo ikawa ni mgalagazano kwakwenda mbele.

Mkuu uliwezaje maana hizi mambo zetu inafikia hatua inalala dolo kwahyo inakawaje hapo
 
Yani viumbe wazito hawa acha tuu. .. eti akatunisha misuli eeh ulijuaje watu wana do kwenye gari basi utakuwa unafanyaga humu ww ndio maana unawahisi wenzio nikabaki namuangalia dume zima kujitoa akili

lakn naww mchezo wa gari si umewahi kufanyiwa?
 
Picha kwangu haifunguki kigori nitumie pm basi

attachment.php
 
lakn naww mchezo wa gari si umewahi kufanyiwa?

Kwa kweli mie sijawahi ila wakati nipo chuo nilimsikia roommate wangu analalamika lizee lake linamfanya humo mie sitting room, bath room na kitandani ndio zangu
 
Back
Top Bottom