kigori wa kilwa
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 483
- 149
Picha kwangu haifunguki kigori nitumie pm basi
Guest house
hizi sabuni balaa znatakiwa ziitwe kama mwizi. Maana zna harufu ukiwa umetoka maeneo flan lazma utajulikana tu
Aaaahhha haswa wife awe anazijua harufuuu utajuta aaa
ha ha ha harufu mgandoacha kabisa bhana. Hizi kama ww n mzinz unatakiwa uzinunue ziwepo ndan kwako uwe unaogea mara mojamoja ili hata ukitoka nje huko harufu isikuumbue
ha ha ha harufu mgando
Aaahahhha lazima upulizie purfurm mpka yenyewe itoke