Gilbert Clavery
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 438
- 363
Hiv ulishawah kuona Petrol station katikati ya barabara lazma ikae pemben ili uchepuke kidogo uendlee na safar.

Hiv ulishawah kuona Petrol station katikati ya barabara lazma ikae pemben ili uchepuke kidogo uendlee na safar.

MUBASHARAHiyo inaitwa tangazo mbashara kudadadeki
Sijawahi....
Usihukumu kabla hujahukumiwa....ona sasa,zee zima!!
..wenzio wenye akili wa umri huo wanawasaidia watoto wao kuumba herufi na kuimba,we unaanzisha thread ya kipuuzi JF!.,
..nonsense!
Haki sawaNilikua muaminifu sana kwenye mahusiano yangu lkn nilivyoona mwenzangu anachepuka na me nkawa nachepuka kimtindo. Ila now tuko serious Kwnye mahusiano japo Hawa wanaume hawaaminiki.
...umeelewa?,au shobo tu!Usihukumu kabla hujahukumiwa.
Wewe ni nani hata umuhukumu mwenzio kuto kua na mtoto by 27 age?
Kbsa mkuuHaki sawa
Siwezi kujua kama nina mvuto au sina. Wanaonijua ndo wanafahamumleta mada huna mvuto nn
Kwani uliitwa hapa . Kiherehere chako tuUsituzingue hapa!
Hongera. Lakini hatujasema usichepuke.wewe chepuka tunisichepuke kwanini wakati kesho yangu siijui, don't take life too seriously mwisho wa siku wote tutakufa enjoy the life while u can
kwanza kuchepuka kunapunguza stress eti
wtf...?? Jf inavamiwa na watu wanaosababisha tusiamininaneHilo ni dume linatumia ID ya kike mkuu
Labda yeye ni mungu. Ukute hapo alipo yeye Hata wa kusingiziwa Hana. Na Kama kasingiziwa basi ni wa mwanaume mwenzie yeye analea tuUsihukumu kabla hujahukumiwa.
Wewe ni nani hata umuhukumu mwenzio kuto kua na mtoto by 27 age?
anza hivi, mimi ni binti wa miaka x ambaye nimekuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa miaka y, na kwa muda wote huo sikuwahi kuchepuka!Msema ukweli mpenzi wa MUNGU. Nilishawahi kuwa kwenye mahisiano na mwanaume mmoja na ndo aliekuwa mwanaume wangu wa kwanza na baadae niliachana nae. Sijawahi kuchepuka, baada ya yeye kuwa na tabia za kuchepuka nikaachana nae na sitakuwa mchepukaji hata nikiingia tena kwenye mapenzi katu kuchepuka ni kipaji.
Je, wewe unaweza kuwa na mwanaume/mwanamke mmoja bila kuchepuka?
Kumbuka unaposema uongo. MUNGU anakuona!
Sina hata huo mda.. Kwa Uliambiwa Valentine ni lazima Kuwa na bwana
Msiwe wajinga wa kufikiri. Mwanaume anaweza kuweka picha ya kike.... Acheni utoto. Au mnataka wanaume waje wawatongoze???wtf...?? Jf inavamiwa na watu wanaosababisha tusiamininane