Wote wanao anzisha thread. Ni wapuuzi???. Basi nawe mpuuzi. Maana umecoment kwa thread ya mpuuzi mwenzio. Nonsense...ona sasa,zee zima!!
..wenzio wenye akili wa umri huo wanawasaidia watoto wao kuumba herufi na kuimba,we unaanzisha thread ya kipuuzi JF!.,
..nonsense!
Hongerahata mimi sijawahi kuchepuka na siwazi kufanya hivyo na Mungu anisaidie
hahahhhh hilo swali ujue nimelikwepamie na wewe hatushindwan vp kwan wewe hujawah kuchepuka kwel toka moyoniiii
Usipite toa nenoMungu ananiona, bora niwe msomaji tuu....
Ukiweza anzisha weweSo mnataka mkutane ili muanzishe 'wasiochepuka special?'
hapana sitaki kuwa mnafiki....wanawake mnatusababisha tuchepuke....coz hamueleweki mnataka nini>>>>Usipite toa neno
mkuu hili jibu lako ni la kibabe hata ukimjibu mpenzi wako taratibuu anaingia chumbani akajibembeleze machoziHiv ulishawah kuona Petrol station katikati ya barabara lazma ikae pemben ili uchepuke kidogo uendlee na safar.

ha ha ha jibu tu ujue mungu anatuona so sema tu ukwel tuhahahhhh hilo swali ujue nimelikwepa
we waache wabishe tu ila ukwel wanaujua kabisamkuu hili jibu lako ni la kibabe hata ukimjibu mpenzi wako taratibuu anaingia chumbani akajibembeleze machozi![]()
√√hili jibu lako ni la kufunga huu mjadalaa lakini kwa wabishii watabishaa![]()
![]()
Hizo safari za karibu ukichepuka ni uzembe wako.Inategemea na gari lako.kama gari lako likiishiwa mafuta, utachepuka. Wengine magari yao yako full tank. Mwanzo hadi mwisho wa safari
mkuu kutokana na jibu lake hapo, wale walo full tank ndo wale waliokuwa aged ..45 na kuendelea , ndo huwa full tank, lakini siye wakina VX doo, vituo viwili upo kwa sheliLabda kama full tank yako inatoka ubungo unaishia mbez ila kama safar ndefu ahaa kuingia petrol station muhimu

kabisa yani we ushakuwa full tank haina haja ya kuchepuka mkuuu, yani jina lako limesadifuu, uvumilivu tuuuNilichepukaga enzi za u-boyfriend na u-girlfriend.
Lakini toka nimeingia kwenye ndoa,ni muongo mmoja sasa,sijachepuka na wala sina mawazo hayo. Namuomba Mungu aninusuru na mawazo hayo ya kishetani. Na aliyenioa si katika hao maboyfriend.
ukweli ninaujua mwenyewe naweza sema tofaut ukabisha tuachane nalo tuha ha ha jibu tu ujue mungu anatuona so sema tu ukwel tu
hapana kwa kwel mie ntakuamin tu ukisema YES or NOukweli ninaujua mwenyewe naweza sema tofaut ukabisha tuachane nalo tu
Sisi mbona tunataka upendo wa dhati tuhapana sitaki kuwa mnafiki....wanawake mnatusababisha tuchepuke....coz hamueleweki mnataka nini>>>>