Wangapi hatujawahi kuchepuka katika mahusiano yetu?

Wangapi hatujawahi kuchepuka katika mahusiano yetu?

Wanawake wana akili bhana.....check jinsi habari ilivyoletwa.
 
Kuleta swali hili humu ndani naweza kufananisha na kutafta bikra katika wodi ya wazazi pale mwananyamara!
Mimi enzi za kuchepuka nlipataga bahati mbaya sana maana nakumbuka nlipokuwa na dada flan nlichepuka matokeo yake yakawa mimba na yule dada akanipiga chinni,nikiwa tabora nikapata mtoto flan ambaye nlitaka kujenga nae future so nkamweleza huu mkasa na nkamuahid haitotokea tena akanielewa ila ajab nlichepuka kidogo na nlipoenda ikatokea mimba tena napo nikaachika yan mpaka leo naogopa kuchepuka hatar na nkichepuka sijiamin kabisa yan kias kwamba hata salama siliamin nahsi zinaeza pasuka katikatnya match inabid nitumie angalau rough rider yan!
 
Sasa unaanzaje kwenda straight ilihali barabara zenyewe zina mabango ya "Diversion ahead"???
 
Msema ukweli mpenzi wa MUNGU. Nilishawahi kuwa kwenye mahisiano na mwanaume mmoja na ndo aliekuwa mwanaume wangu wa kwanza na baadae niliachana nae. Sijawahi kuchepuka, baada ya yeye kuwa na tabia za kuchepuka nikaachana nae na sitakuwa mchepukaji hata nikiingia tena kwenye mapenzi katu kuchepuka ni kipaji.

Je, wewe unaweza kuwa na mwanaume/mwanamke mmoja bila kuchepuka?

Kumbuka unaposema uongo. MUNGU anakuona!
bahati mbaya waliotulia kweli ndo wanapata vipanga balaa.
 
Mim sijawah kuchepuka kwani sio tabia nzuri japokuwa huwa nashawishiwa ila namshukuru mungu huwa nadhinda majaribu
 
Back
Top Bottom