Gypsum Screw
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,405
- 1,610
makubwa!
jukwaa la mamaInaonekana mama yetu anamwaga pesa sana hadi kila mtu anakuja na idea yake, na sisi wanaJf tutoke vipi wandugu msimu huu wa mavuno?
wanachoangalia wao ni mtu yeyote anayeweza piga kura --- muda si mrefu tunaweza kuja sikia "wafungwa wa mama" 🤣Sasa mtu ni mnenguaji atakuwaje na akili mkuu..
Ukiona ngoma yavuma sana......... Nakuhakikishia Samia atakuja kuanguka vibaya sana halafu kila mtu atabaki kujiuliza na kushangaa akikumbuka hiki kipindi. Siyo lazima aanguke kwenye huu uchaguzi ila hata baada ya kipindi chake cha uongozi, rais atakayefuatia, ataanika madudu yake na amweke hali mbaya sana yeye na watu wake wa karibu.JW chonde chonde ajitokeze Traore mmoja aokoe jahazi.
Uko sahihi. Huyu mama ni yale upeo wake ni kama yale mashingingi ya Mwananyamala kwa Kopa. CCM wametuweza kweli kweli.Huwa nasikitika sana naposikia watu wakisema kwamba samia ana nia njema ila amezungukwa na watu wasiomtakia mema. IQ ya Rais wetu ni finyu mno alipaswa awe jikoni sio sebuleni
Wanenguaji wa mamaUchawa wa viwango unaendelea!
Mapema Leo Wanenguaji (dancer’s) Kutoka Bendi Mbalimbali Tanzania Wakiwakilishwa Na Amka Dance’s Wametambulisha Kampeni Yao Mpya Inayokwenda Kwa Jina La AMKA NA SAMIA
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wakiongea Na Waandishi Wa Habari Wanenguaji Hao Wamesema Lengo La Kampeni Hiyo Ni Kusupport Yale Mema Yanayofanywa Na Serikali Kupitia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh SAMIA SULUHU HASSAN Na Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Taifa Dr HUSSEIN MWINYI
DANCER’S Hao Wamesema Wao Ni Mashuhuda Jinsi Ambavyo Rais SAMIA SULUHU Na Dr HUSSEIN MWINYI Wamefanya Kazi Kubwa Kuboresha Nchi Kwenye Sekta Mbalimbali Ikiwemo Afya,Elimu Miundo Mbinu Ya Barabara N.k
TAKATAKA! SHIT HOLEUchawa wa viwango unaendelea!
Mapema Leo Wanenguaji (dancer’s) Kutoka Bendi Mbalimbali Tanzania Wakiwakilishwa Na Amka Dance’s Wametambulisha Kampeni Yao Mpya Inayokwenda Kwa Jina La AMKA NA SAMIA
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wakiongea Na Waandishi Wa Habari Wanenguaji Hao Wamesema Lengo La Kampeni Hiyo Ni Kusupport Yale Mema Yanayofanywa Na Serikali Kupitia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh SAMIA SULUHU HASSAN Na Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Taifa Dr HUSSEIN MWINYI
DANCER’S Hao Wamesema Wao Ni Mashuhuda Jinsi Ambavyo Rais SAMIA SULUHU Na Dr HUSSEIN MWINYI Wamefanya Kazi Kubwa Kuboresha Nchi Kwenye Sekta Mbalimbali Ikiwemo Afya,Elimu Miundo Mbinu Ya Barabara N.k
Hivi wana akili timamu hao! wanamkatikia mama yao!Uchawa wa viwango unaendelea!
Mapema Leo Wanenguaji (dancer’s) Kutoka Bendi Mbalimbali Tanzania Wakiwakilishwa Na Amka Dance’s Wametambulisha Kampeni Yao Mpya Inayokwenda Kwa Jina La AMKA NA SAMIA
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wakiongea Na Waandishi Wa Habari Wanenguaji Hao Wamesema Lengo La Kampeni Hiyo Ni Kusupport Yale Mema Yanayofanywa Na Serikali Kupitia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh SAMIA SULUHU HASSAN Na Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Taifa Dr HUSSEIN MWINYI
DANCER’S Hao Wamesema Wao Ni Mashuhuda Jinsi Ambavyo Rais SAMIA SULUHU Na Dr HUSSEIN MWINYI Wamefanya Kazi Kubwa Kuboresha Nchi Kwenye Sekta Mbalimbali Ikiwemo Afya,Elimu Miundo Mbinu Ya Barabara N.k
Hivi wana akili timamu hao! wanamkatikia mama yao!Uchawa wa viwango unaendelea!
Mapema Leo Wanenguaji (dancer’s) Kutoka Bendi Mbalimbali Tanzania Wakiwakilishwa Na Amka Dance’s Wametambulisha Kampeni Yao Mpya Inayokwenda Kwa Jina La AMKA NA SAMIA
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wakiongea Na Waandishi Wa Habari Wanenguaji Hao Wamesema Lengo La Kampeni Hiyo Ni Kusupport Yale Mema Yanayofanywa Na Serikali Kupitia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh SAMIA SULUHU HASSAN Na Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Taifa Dr HUSSEIN MWINYI
DANCER’S Hao Wamesema Wao Ni Mashuhuda Jinsi Ambavyo Rais SAMIA SULUHU Na Dr HUSSEIN MWINYI Wamefanya Kazi Kubwa Kuboresha Nchi Kwenye Sekta Mbalimbali Ikiwemo Afya,Elimu Miundo Mbinu Ya Barabara N.k