PreGE2025 Wanenguaji waja na amka na mama Samia

PreGE2025 Wanenguaji waja na amka na mama Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
JW chonde chonde ajitokeze Traore mmoja aokoe jahazi.
Ukiona ngoma yavuma sana......... Nakuhakikishia Samia atakuja kuanguka vibaya sana halafu kila mtu atabaki kujiuliza na kushangaa akikumbuka hiki kipindi. Siyo lazima aanguke kwenye huu uchaguzi ila hata baada ya kipindi chake cha uongozi, rais atakayefuatia, ataanika madudu yake na amweke hali mbaya sana yeye na watu wake wa karibu.
 
wadangaji nao waja na tamasha la wadanganji wa samia
 
Uchawa wa viwango unaendelea!

Mapema Leo Wanenguaji (dancer’s) Kutoka Bendi Mbalimbali Tanzania Wakiwakilishwa Na Amka Dance’s Wametambulisha Kampeni Yao Mpya Inayokwenda Kwa Jina La AMKA NA SAMIA

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wakiongea Na Waandishi Wa Habari Wanenguaji Hao Wamesema Lengo La Kampeni Hiyo Ni Kusupport Yale Mema Yanayofanywa Na Serikali Kupitia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh SAMIA SULUHU HASSAN Na Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Taifa Dr HUSSEIN MWINYI

DANCER’S Hao Wamesema Wao Ni Mashuhuda Jinsi Ambavyo Rais SAMIA SULUHU Na Dr HUSSEIN MWINYI Wamefanya Kazi Kubwa Kuboresha Nchi Kwenye Sekta Mbalimbali Ikiwemo Afya,Elimu Miundo Mbinu Ya Barabara N.k

Wanenguaji wa mama
 
Uchawa wa viwango unaendelea!

Mapema Leo Wanenguaji (dancer’s) Kutoka Bendi Mbalimbali Tanzania Wakiwakilishwa Na Amka Dance’s Wametambulisha Kampeni Yao Mpya Inayokwenda Kwa Jina La AMKA NA SAMIA

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wakiongea Na Waandishi Wa Habari Wanenguaji Hao Wamesema Lengo La Kampeni Hiyo Ni Kusupport Yale Mema Yanayofanywa Na Serikali Kupitia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh SAMIA SULUHU HASSAN Na Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Taifa Dr HUSSEIN MWINYI

DANCER’S Hao Wamesema Wao Ni Mashuhuda Jinsi Ambavyo Rais SAMIA SULUHU Na Dr HUSSEIN MWINYI Wamefanya Kazi Kubwa Kuboresha Nchi Kwenye Sekta Mbalimbali Ikiwemo Afya,Elimu Miundo Mbinu Ya Barabara N.k

TAKATAKA! SHIT HOLE
 
Naona Maza anatumia nguvu nyingi kujinadi! Kwani hao dancers watamfanya Maza ajulikane zaidi ya ambavyo anajulikana kwa sasa?
 
Naona Maza anatumia nguvu nyingi kujinadi! Kwani hao dancers watamfanya Maza ajulikane zaidi ya ambavyo anajulikana kwa sasa?
 
Uchawa wa viwango unaendelea!

Mapema Leo Wanenguaji (dancer’s) Kutoka Bendi Mbalimbali Tanzania Wakiwakilishwa Na Amka Dance’s Wametambulisha Kampeni Yao Mpya Inayokwenda Kwa Jina La AMKA NA SAMIA

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wakiongea Na Waandishi Wa Habari Wanenguaji Hao Wamesema Lengo La Kampeni Hiyo Ni Kusupport Yale Mema Yanayofanywa Na Serikali Kupitia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh SAMIA SULUHU HASSAN Na Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Taifa Dr HUSSEIN MWINYI

DANCER’S Hao Wamesema Wao Ni Mashuhuda Jinsi Ambavyo Rais SAMIA SULUHU Na Dr HUSSEIN MWINYI Wamefanya Kazi Kubwa Kuboresha Nchi Kwenye Sekta Mbalimbali Ikiwemo Afya,Elimu Miundo Mbinu Ya Barabara N.k

Hivi wana akili timamu hao! wanamkatikia mama yao!
 
Uchawa wa viwango unaendelea!

Mapema Leo Wanenguaji (dancer’s) Kutoka Bendi Mbalimbali Tanzania Wakiwakilishwa Na Amka Dance’s Wametambulisha Kampeni Yao Mpya Inayokwenda Kwa Jina La AMKA NA SAMIA

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wakiongea Na Waandishi Wa Habari Wanenguaji Hao Wamesema Lengo La Kampeni Hiyo Ni Kusupport Yale Mema Yanayofanywa Na Serikali Kupitia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh SAMIA SULUHU HASSAN Na Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Taifa Dr HUSSEIN MWINYI

DANCER’S Hao Wamesema Wao Ni Mashuhuda Jinsi Ambavyo Rais SAMIA SULUHU Na Dr HUSSEIN MWINYI Wamefanya Kazi Kubwa Kuboresha Nchi Kwenye Sekta Mbalimbali Ikiwemo Afya,Elimu Miundo Mbinu Ya Barabara N.k

Hivi wana akili timamu hao! wanamkatikia mama yao!
 
Back
Top Bottom