PreGE2025 Wanenguaji waja na amka na mama Samia

PreGE2025 Wanenguaji waja na amka na mama Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Uchawa wa viwango unaendelea!

Mapema Leo Wanenguaji (dancer’s) Kutoka Bendi Mbalimbali Tanzania Wakiwakilishwa Na Amka Dance’s Wametambulisha Kampeni Yao Mpya Inayokwenda Kwa Jina La AMKA NA SAMIA

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wakiongea Na Waandishi Wa Habari Wanenguaji Hao Wamesema Lengo La Kampeni Hiyo Ni Kusupport Yale Mema Yanayofanywa Na Serikali Kupitia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh SAMIA SULUHU HASSAN Na Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Taifa Dr HUSSEIN MWINYI

DANCER’S Hao Wamesema Wao Ni Mashuhuda Jinsi Ambavyo Rais SAMIA SULUHU Na Dr HUSSEIN MWINYI Wamefanya Kazi Kubwa Kuboresha Nchi Kwenye Sekta Mbalimbali Ikiwemo Afya,Elimu Miundo Mbinu Ya Barabara N.k

upinzani mnapigwa spana kila mahali hamna pa kupumulia sasahivi mtahenya mwaka huu
 
Finally, era of stupidity.

Tujipe moyo.

Hata Marekani wanapitia kipindi kama hiki wakati huu. Trump anatukuzwa na chama chake (Republican) na kuabudiwa na cabinet yake kama Kim Jong Un kule North Korea.

Wapiga kura wa Trump (MAGA base) na mashabiki wake wanadharau na kukebehi usomi na uanataaluma (expertise) kwamba ndio ujinga na upumbavu wa leo. Wasomi na wanataaluma wanaitwa “liberal elites”.

Elite (na elitism) ni title yenye hadhi kubwa kwenye jamii. Wao wameigeuza kuwa kituko fulani hivi.

Ukiongea jambo kwa ufasaha, elimu (knowledge) na mantiki kubwa unashtukiwa kuwa ni “liberal elite”. Unaweza kuzomewa, kukejeliwa hata kuitwa mshamba.

Unatakiwa uongee kwa mbwembwe kama Trump au Musk. Haijalishi unachosema. Watu wanataka kusikiliza hadaa zinazoeleweka na kukubalika kwa wanyonge (semi-literate working class). Halafu wewe unawaletea “usomi”? F’ck off loser!

It’s the era of stupidity - globally.
 
Ukiona ngoma yavuma sana......... Nakuhakikishia Samia atakuja kuanguka vibaya sana halafu kila mtu atabaki kujiuliza na kushangaa akikumbuka hiki kipindi. Siyo lazima aanguke kwenye huu uchaguzi ila hata baada ya kipindi chake cha uongozi, rais atakayefuatia, ataanika madudu yake na amweke hali mbaya sana yeye na watu wake wa karibu.
Ila atakuwa ameiacha nchi ikiwa mbavu tupu minofu yote imeondoka!
 
Mwaka wa uchaguzi huu mengi tutayaona
Bodaboda wanakuja na "chora na mama"
 
Sasa mtu kazi yake ndio hio kucheza ameona fursa kaamua kutumia hio fursa kufanya kazi yake...; Hilo wala halina tatizo...

Tatizo ni wale wanaotumia Kodi zetu kwenye mambo kama haya badala ya vitu vingi ambavyo vipo pending na ndio tumewatuma..., Au wale tunaowalipa wafanye kazi nyingine na kutuletea Sera za kufanya maisha yetu yawe bora nao wamegeuka kuwa Wasanii
 
Wote ni watanzania ni Haki Yao, na hawana kosa kunengua. Ingekuwa 'Mashoga wa Mama" ndio ningeshangaa
 
CCM inapenda wajingawajinga sampuli hii,wakati CHADEMA chanyewe kinawaamsha Watanzania.
 
DANCER’S Hao Wamesema Wao Ni Mashuhuda Jinsi Ambavyo Rais SAMIA SULUHU Na Dr HUSSEIN MWINYI Wamefanya Kazi Kubwa Kuboresha Nchi Kwenye Sekta Mbalimbali Ikiwemo Afya,Elimu Miundo Mbinu Ya Barabara N.k

kafanya makubwa na bado anaogopa kufanya uchaguzi wa uhuru na uwazi 😀😀
 
Uchawa wa viwango unaendelea!

Mapema Leo Wanenguaji (dancer’s) Kutoka Bendi Mbalimbali Tanzania Wakiwakilishwa Na Amka Dance’s Wametambulisha Kampeni Yao Mpya Inayokwenda Kwa Jina La AMKA NA SAMIA

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wakiongea Na Waandishi Wa Habari Wanenguaji Hao Wamesema Lengo La Kampeni Hiyo Ni Kusupport Yale Mema Yanayofanywa Na Serikali Kupitia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh SAMIA SULUHU HASSAN Na Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Taifa Dr HUSSEIN MWINYI

DANCER’S Hao Wamesema Wao Ni Mashuhuda Jinsi Ambavyo Rais SAMIA SULUHU Na Dr HUSSEIN MWINYI Wamefanya Kazi Kubwa Kuboresha Nchi Kwenye Sekta Mbalimbali Ikiwemo Afya,Elimu Miundo Mbinu Ya Barabara N.k

Wananengua wameshiba hao!
 
Uchawa wa viwango unaendelea!

Mapema Leo Wanenguaji (dancer’s) Kutoka Bendi Mbalimbali Tanzania Wakiwakilishwa Na Amka Dance’s Wametambulisha Kampeni Yao Mpya Inayokwenda Kwa Jina La AMKA NA SAMIA

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wakiongea Na Waandishi Wa Habari Wanenguaji Hao Wamesema Lengo La Kampeni Hiyo Ni Kusupport Yale Mema Yanayofanywa Na Serikali Kupitia Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh SAMIA SULUHU HASSAN Na Rais Wa Zanzibar Na Mwenyekiti Wa Baraza La Mapinduzi Taifa Dr HUSSEIN MWINYI

DANCER’S Hao Wamesema Wao Ni Mashuhuda Jinsi Ambavyo Rais SAMIA SULUHU Na Dr HUSSEIN MWINYI Wamefanya Kazi Kubwa Kuboresha Nchi Kwenye Sekta Mbalimbali Ikiwemo Afya,Elimu Miundo Mbinu Ya Barabara N.k

Washaona Kuna mapesa ya bure ya kujichotea kikubwa tu we anzisha jambo lako alafu mtaje mama. Kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom