koba lee
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 964
- 1,552
Salamu wakuu
Kama kichwa cha habari kinavyosema,hakika niko katika wakati mgumu,naombeni yoyote mwenye uwezo na moyo wa msaada anisaidie mkopo wa sh. Laki 5 tu nitatue tatizo ambalo mda si mrefu litatokea,kiufupi mke wangu ni mjamzito na kimebaki kipindi kifupi ajifungue,balance ambayo tumesave imetumika kutokana misiba iliyotokea kwao na mwanamke,kimebaki kiasi kidogo ambacho kinantia waswasii kama endapo akijifungua leo au kesho kitasaidia,mimi nimeajiriwa katika kampuni binafsi uwezo wa kurejesha kiasi hicho cha pesa ninao japo kwa awamu mbili,naishi dar es salaam. Au kama kuna taasisi binafsi ambayo haina usumbufu kwenye kutoa hela naombeni mnisaidie hata jina.Nashukuru sana
Kama kichwa cha habari kinavyosema,hakika niko katika wakati mgumu,naombeni yoyote mwenye uwezo na moyo wa msaada anisaidie mkopo wa sh. Laki 5 tu nitatue tatizo ambalo mda si mrefu litatokea,kiufupi mke wangu ni mjamzito na kimebaki kipindi kifupi ajifungue,balance ambayo tumesave imetumika kutokana misiba iliyotokea kwao na mwanamke,kimebaki kiasi kidogo ambacho kinantia waswasii kama endapo akijifungua leo au kesho kitasaidia,mimi nimeajiriwa katika kampuni binafsi uwezo wa kurejesha kiasi hicho cha pesa ninao japo kwa awamu mbili,naishi dar es salaam. Au kama kuna taasisi binafsi ambayo haina usumbufu kwenye kutoa hela naombeni mnisaidie hata jina.Nashukuru sana