GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
Haiwezekani Sisi tuliofika Fainali ya CAFCC tunaanza hatua za awali kabisa (za Wachovu na Wasiojua) CAFCL halafu Simba SC walioishia au waliozoea kuishia hatua ya Robo Fainali ya CAFCL wao wanaanzia hatua ya Pili.
GENTAMYCINE nikiwa kama mwana Yanga SC tukuka (Members wana Yanga SC wote wsnajua) nawaombeni wana Yanga SC tusikubali Abadan na Kesho twendeni TFF ili tuwaambie wawapigie Simu CAF na tuwaambie Watuheshimu na watupange Makundi moja kwa moja.
GENTAMYCINE nikiwa kama mwana Yanga SC tukuka (Members wana Yanga SC wote wsnajua) nawaombeni wana Yanga SC tusikubali Abadan na Kesho twendeni TFF ili tuwaambie wawapigie Simu CAF na tuwaambie Watuheshimu na watupange Makundi moja kwa moja.