ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,360
hapo sihusiki mimi wala nafsi yangu.. Harafu ile Zawadi niliyokutumia uliipata?View attachment 328222
Kwa yoyote anayehusika
hapo sihusiki mimi wala nafsi yangu.. Harafu ile Zawadi niliyokutumia uliipata?View attachment 328222
Kwa yoyote anayehusika
Sijaipata. Labda utume tenahapo sihusiki mimi wala nafsi yangu.. Harafu ile Zawadi niliyokutumia uliipata?
kimbia upesi pm kuna kitu kinakusubiri.. Mwanamke sio mtumwa wala mtumishi. Mwanamke ni Ua linalohitaji huduma ya Kumwagiwa maji masafi na yenye baraka.. Can't be without you Jimena wanguSijaipata. Labda utume tena
kimbia upesi pm kuna kitu kinakusubiri.. Mwanamke sio mtumwa wala mtumishi. Mwanamke ni Ua linalohitaji huduma ya Kumwagiwa maji masafi na yenye baraka.. Can't be without you Jimena wangu
wewe sasa unataka kuniachanisha na shemeji yako, mi si nilikwambia lakini kuwa sitegemei kumuacha? Usimfanyie hivyo basi

figa moja haliinjiki sufuria wewe![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
wewe sasa unataka kuniachanisha na shemeji yako, mi si nilikwambia lakini kuwa sitegemei kumuacha? Usimfanyie hivyo basi
![]()
![]()
Hatutumii mafigafiga moja haliinjiki sufuria wewe
nani mvivu?! wanawake si wavivuKwanza waache UVIVU na wafanye kazi, halafu ndo waje tuongee mambo ya jinsia.
mimi mwanamke ila siamini katika hicho kitu usawa kabisa ,.. ni kitu kipo theoretically ila practically ni uongo
Njoo mererani mama kuna mgodi unataka wafanyakazi ,unazama mgodini kutoka ni baada ya siku tatu ,hakuna chakula ,ni wewe na nyundo ,baruti ,na kusomoa tu udongoSio umagharibi uonevu kwa mwanamke lazima ukomeshwe we need egual opportunities kila sehemu kuanzia kwenye elimu Mpaka kwenye uongozi
Kuna hela ya kutosha huko kwanza I'll ukizamia ukiibuka utapata cha maanaNjoo mererani mama kuna mgodi unataka wafanyakazi ,unazama mgodini kutoka ni baada ya siku tatu ,hakuna chakula ,ni wewe na nyundo ,baruti ,na kusomoa tu udongo
hivi unajua huyu peterchoka atakukosesha vingi?PM siji![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kuna hela ya kutosha huko kwanza I'll ukizamia ukiibuka utapata cha maana
nataka nikupeleke kwetu uziguani lakini nahisi kuna mtu ananiwekea mtima nyongopeterchoka imekuwaje unalalamikiwa kiasi hiki![]()
Uziguani siendi.... Nimetulia tuliii hapa nilipo, tunasikiliza raggae tu na baenataka nikupeleke kwetu uziguani lakini nahisi kuna mtu ananiwekea mtima nyongo