Wanawake ziiii...

Wanawake ziiii...

gender equality na women empowerment ni mpango wa kishetani unaoratibiwa na vyombo na taasisi kubwa duniani kwa malengo maalumu.
 
Hiyo ya haki sawa huwa inahubiriwa majukwaani tu,akifika kwa mume anaufyata.... Usicheze na wanaume wa kiafrika wewe
 
Angalia wanawake wote wanaojiita wanaharakati za haki ya mwanamke, angalia ndoa zao au mahusiano yao. Dunia hii inaendeshwa na itatawaliwa kiume forever.
 
Mkuu Ukisema Hapa Utaonekana Ni Povu Sijui Nini Mara Una Wivu.
Hizi Movement Zote Feminism,Communism,Same Sex Marriages, Ni Mpango Wa Illuminati Kupinga Ule Uasili Ambao Mwenyezi Mungu Aliuweka Alipoumba Dunia.
Feminism:Movement Ya Wanawake Kutaka Usawa Goes On And On,Ila The Real Objectives Ni Kudistruct The Order Which Mungu Aliweka That Mwanaume Ndio Kiongozi. Nowadays Wanawake Ni Viburi Na Wana Vyombo Vya Kuwatetea Leo Hii Hata Ukisema Ukweli Unaonekana Mbaya. Illuminati Walileta Hii Lengo Kubwa Ni Kusambaratisha Familia Kwakua Mwanamke/Mke Atapewa Uwezo Atampinga Mwanaume/Mume Wake,Kitu Kitakachopelekea Familia Kuyumbayumba. Na Kama Tujuavyo Familia Ni Nguzo Ya Dini Zetu Kubwa Mbili,Ukristo Na Usilamu,Familia Ikiwa Na Matatizo Hamna Atakayejihusisha Na Dini Hivyo Kuzidi Kuzidhoofisha .Feminism Breaks The Order From Bible And Quran That Man Is The Head.
Sasa Huku Africa Kwetu Tunashadadia Tu Mambo Bila Hata Ya Kuelewa.
Wahusika Wanatudepict Men,Mostly African Men As Barbaric Oppresive,Suppresive Urging Women To Rise Against Us.
Nowadays Ndoa Nyingi Hazidumu Kwa Sababu Kuna Vichwa Viwili Na Sio Kimoja Tena.
Sisupport Ukatili Ama Oppression Against Women ,There Are Things Done Against Women Which Are Unnacceptable Like FGM,And Those Done To Them Just Cause They Are Female.
 
mi nlitegemea wao wapambane na changamoto wanazozipata katika maisha ya kawaida mfano:
~kuchota maji kutoka umbali mrefu kwa wale wa vijijini
~huduma bora za afya
~kuendelezwa kiuchumi kielimu kwa manufaa ya familia ili kupambana na vikwazo
lakini badala yake wanajikuta wakishupalia kuwa sawa na mwanaume mfano
~rais awamu hii ni mwanaume awamu ijayo lazima awe mwanamke
~wote tupate urithi sawa
~idadi ya wawakilishi katika sekta mbalimbali iwe sawa
yani hapo anayeonekana adui ni mwanaume na si matatizo yanayotukumba wote kama jamii

ushauri wangu; WANAWAKE WATASONGA MBELE PALE TU WATAKAPO GUNDUA KWAMBA ADUI YAO NI MATATIZO NA CHANGAMOTO ZINAZOIKUMBA JAMII NA SI MWANAUME!.
 
Umagharibi utawaponza kabisa, wanachotaka kutengeneza jamii yenye migongano then watatutawala kirahisi sana

Kwa hilo na Mimi nasema ziiiiiiiiiiiii
Sio umagharibi uonevu kwa mwanamke lazima ukomeshwe we need egual opportunities kila sehemu kuanzia kwenye elimu Mpaka kwenye uongozi
 
Na ndiyo maana biblia ilituonya kuishi na wanawake kwa akili...So kuwa-handle hawaitaji nguvu mingi ni kucheza na akili zao tu na wao huridhika mno..
 
Nashindwa kuelewa kama wanataka kushindana na Nature kwa nini wanaomba kuwezeshwa?????? Kwani mwanamume aliwezeshwa na nani mpaka akafikia hapo alipofikia.. Waache kuiga visivyofaa wafanye yale yanayowahusu kulingana na uwezo na jinsia yao kama vile Mungu alivyoagiza.
 
Kwanza waache UVIVU na wafanye kazi, halafu ndo waje tuongee mambo ya jinsia.
 
Siyo kwa ubaya:

*Aliumbwa mwanadamu kwa mfano wake yeye (Mungu). Huyo mwanadamu ni Adam, Adam ni mwanume.
* Alishi kwa muda mrefu sana ndani ya bustani ya Eden, na kutawala vyote vilivyo angani, aridhini na majini. Kwa maana dunia ilikuwa inaendeshwa/ kuongozwa na mwanaume.
* Baadae sana akaletwa msaidizi kutoka kwenye ubavu wake yeye Adam, akaitwa Eve. Ambae ni mwanamke.

Wacheni wanawake wafanye wanavyotaka au wanachotaka, wala msishindane nao... lakini dunia hii inaendeshwa ki-mfumo dume daima na milele.

Soma pamoja nami, Mwanzo 5:2,,, Mwanamume na mwanamke aliwaumba, akawabariki, akawaita jina lao Adamu, siku ile walipoumbwa.

Kimsingi, Mungu aliwaumba katika hali ya umoja. Tatizo la ulimwengu wa leo wanadamu kwa kiburi cha dhambi wameanza kutenganisha na kubainisha tofauti kati ya mwanamke na mwanamume na kutafuta similarities and differences. Na hapo ndipo shida ilipoanzia. Wakati nasoma chuo kikuu pale Mlimani, kuna kozi moja inaitwa Development Studies, humo kuna topic ya mambo ya gender.... Aisee kuna mama mmoja ni Prof alikuwa akifundisha hayo mambo ya usawa, ila unaambiwa akifika nyumbani kwake ananywea. Lazima akampikie mumewe, akamwekee maji ya kuoga, amfulie kila kitu anakifanya na hataki msichana wa kazi amhudumie mume wake. Ila akiwa chuo anafundisha usawa, na hapo ndipo ninapoona unafiki wa wanawake.
 
Mkuu Ukisema Hapa Utaonekana Ni Povu Sijui Nini Mara Una Wivu.
Hizi Movement Zote Feminism,Communism,Same Sex Marriages, Ni Mpango Wa Illuminati Kupinga Ule Uasili Ambao Mwenyezi Mungu Aliuweka Alipoumba Dunia.
Feminism:Movement Ya Wanawake Kutaka Usawa Goes On And On,Ila The Real Objectives Ni Kudistruct The Order Which Mungu Aliweka That Mwanaume Ndio Kiongozi. Nowadays Wanawake Ni Viburi Na Wana Vyombo Vya Kuwatetea Leo Hii Hata Ukisema Ukweli Unaonekana Mbaya. Illuminati Walileta Hii Lengo Kubwa Ni Kusambaratisha Familia Kwakua Mwanamke/Mke Atapewa Uwezo Atampinga Mwanaume/Mume Wake,Kitu Kitakachopelekea Familia Kuyumbayumba. Na Kama Tujuavyo Familia Ni Nguzo Ya Dini Zetu Kubwa Mbili,Ukristo Na Usilamu,Familia Ikiwa Na Matatizo Hamna Atakayejihusisha Na Dini Hivyo Kuzidi Kuzidhoofisha .Feminism Breaks The Order From Bible And Quran That Man Is The Head.
Sasa Huku Africa Kwetu Tunashadadia Tu Mambo Bila Hata Ya Kuelewa.
Wahusika Wanatudepict Men,Mostly African Men As Barbaric Oppresive,Suppresive Urging Women To Rise Against Us.
Nowadays Ndoa Nyingi Hazidumu Kwa Sababu Kuna Vichwa Viwili Na Sio Kimoja Tena.
Sisupport Ukatili Ama Oppression Against Women ,There Are Things Done Against Women Which Are Unnacceptable Like FGM,And Those Done To Them Just Cause They Are Female.
sasa kwa nini huyo Mungu anawaruhusu hao sijui illuminati wavuruge uasili aliouweka? na hao illuminati ni binadamu au ni viumbe wenye nguvu zaidi ya binadamu? na kama ni binadamu ina maana ni wanawake tu? maana wanaume hawawezi kujiundia mpango wa kujipinga wenyewe.
 
sasa kwa nini huyo Mungu anawaruhusu hao sijui illuminati wavuruge uasili aliouweka? na hao illuminati ni binadamu au ni viumbe wenye nguvu zaidi ya binadamu? na kama ni binadamu ina maana ni wanawake tu? maana wanaume hawawezi kujiundia mpango wa kujipinga wenyewe.
Nimekuelewa sanaaa
 
Siyo kwa ubaya:

*Aliumbwa mwanadamu kwa mfano wake yeye (Mungu). Huyo mwanadamu ni Adam, Adam ni mwanume.
* Alishi kwa muda mrefu sana ndani ya bustani ya Eden, na kutawala vyote vilivyo angani, aridhini na majini. Kwa maana dunia ilikuwa inaendeshwa/ kuongozwa na mwanaume.
* Baadae sana akaletwa msaidizi kutoka kwenye ubavu wake yeye Adam, akaitwa Eve. Ambae ni mwanamke.

Wacheni wanawake wafanye wanavyotaka au wanachotaka, wala msishindane nao... lakini dunia hii inaendeshwa ki-mfumo dume daima na milele.
Iyo baadae saaaaaanaa umenukuu wapi??
 
Mwanamume mmoja aliyemaliza kidato cha nne ni sawa na wanawake mia wenye shahada za uzamili.....
Mwanamume mmoja aliyeishia kidato cha sita ni sawa na wanawake mia wenye shahada za uzamivu(phd)

Mwanamume mmoja aliyeishia darasa la saba ni sawa na wanawake mia wenye degree...
 
ni Ujinga kuamini eti mnaiendesha Dunia huku wengine mkilalamika kuachwa kila kukicha. Daima mwanaume atakuwa juu ya mwanamke mpaka mwisho wa dunia hii.. Labda usawa wa kuoana wwnyewe kwa wenyewe ndio mnaweza kuupata...
 
Mwanamume mmoja aliyemaliza kidato cha nne ni sawa na wanawake mia wenye shahada za uzamili.....
Mwanamume mmoja aliyeishia kidato cha sita ni sawa na wanawake mia wenye shahada za uzamivu(phd)

Mwanamume mmoja aliyeishia darasa la saba ni sawa na wanawake mia wenye degree...
aisee! Sikuwa kulijua hili
 
ni Ujinga kuamini eti mnaiendesha Dunia huku wengine mkilalamika kuachwa kila kukicha. Daima mwanaume atakuwa juu ya mwanamke mpaka mwisho wa dunia hii.. Labda usawa wa kuoana wwnyewe kwa wenyewe ndio mnaweza kuupata...
hata wewe??
 
1457446334057.jpg

Kwa yoyote anayehusika
 
Back
Top Bottom