City hunter j
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 926
- 380
Hahahaha Tisha sana Mkwepa kodiMimi siku hizi wala sina ubishi tena, hata wakati tunacheza mechi na kufungana magoli akitaka kuwa juu namruhusu, natuma mishale kutoka chini kwenda angani
Hahahaha Tisha sana Mkwepa kodiMimi siku hizi wala sina ubishi tena, hata wakati tunacheza mechi na kufungana magoli akitaka kuwa juu namruhusu, natuma mishale kutoka chini kwenda angani
Utakuwa mke mwema nakuambia. Ubeojing umewaponza wanawake wengimimi mwanamke ila siamini katika hicho kitu usawa kabisa ,.. ni kitu kipo theoretically ila practically ni uongo
ukiwaambia ukweli huo wataandamana au kukuandama kwa maneno makalimkuu wakizidi kuomba usawa mtashangaa ongezeko linalotisha la marios in town.maana neno majukumu na usawa ni mapana sana.ua haliwezi kusigana na mtunza bustani bhanaa
kesho jamii ikitunga sheria kwamba ni zamu ya mwanamke kutoa posa pindi anapotaka kuolewa wataafiki,kisha alipe mahari na mengi mengineyo kwa mifumo ya wanaume wa kisasa hii vita ikikolea tutashuhudia mengi na ya kijinga.ukiwaambia ukweli huo wataandamana au kukuandama kwa maneno makali