sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,846
Nahitaji pnzi la kingoni bhana nasikia lazima tupigane mtama kwanza ndio nile tunda! Ni kweli??
hahahaha...hiyo sijui ....nenda songea utapata binti kule....
Nahitaji pnzi la kingoni bhana nasikia lazima tupigane mtama kwanza ndio nile tunda! Ni kweli??
Mkoa unao ongoza kwa kutoa min kabang ni Tanga kule we huulizi unabadili tu kama chaneli
Wanawake toka visiwa vya Unguja na Pemba wameandamana kupinga wanawake wa kutoka Tanga kuwaibia wanaume zao. Wanawake hao wamedai waume zao wakinaswa kwenye mapenzi kwa wanawake toka Tanga basi waume zao wanazamia moja kwa moja na kusahau wake zao majumbani.
Source: mm mwenyewe nimeshuhudia maandamano hayo jana.
Wanawake toka visiwa vya Unguja na Pemba wameandamana kupinga wanawake wa kutoka Tanga kuwaibia wanaume zao. Wanawake hao wamedai waume zao wakinaswa kwenye mapenzi kwa wanawake toka Tanga basi waume zao wanazamia moja kwa moja na kusahau wake zao majumbani.
Source: mm mwenyewe nimeshuhudia maandamano hayo jana.
Mkuu na wewe ukiomba kukumbushia mang'ana atakupa tu
Toto za kitanga fundi bana kunako 6*6
!
!
tanga, si ndio kule kwenye baikoko?
wapi mama farkinah?from kibanda maiti!!?
tatizo wa zenj viuno hawaweziiiii.....
Mkoa unao ongoza kwa kutoa min kabang ni Tanga kule we huulizi unabadili tu kama chaneli
Ndio, maana tumefungwa kufuli za viuno...
Mhhhhh!...Clarification please!!!!