High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,083
Toto za kitanga fundi bana kunako 6*6
sitasahau maishani nilipopelekwa tanga na kuwekwa kuwa afisa mikopo dada mmoja alikuja kuchukua mkopo mzuri kama nini nikampigia makato yake na alikuwa amekamilisha document zote nikamuambia kuwa kesho au siku inayofata mkopo utakuwa umekamilika jioni nikaenda zangu home wakati napaki gari kaniona kumbe anaishi mitaa ileile
dada akaniambia kuwa ujue dada nakupenda sana ila naogopa kukuambia nikamwambia nimekuelewa nitajaribu kukusikiliza wakati huo tumeingia ndani kwangu kusutuka demu kanisogelea nikaanza kushikwashikwa du ikabidi nipige kitu du nilidata nilitaka kuhonga gari ila rafiki yangu kanishauri ndipo nikahama kuja mkoa mwingine
tanga kunatisha