Wanawake zaidi ya 35 watekwa nyara Nigeria wakirudi kumsindikiza Bi harusi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Takriban watu 35 hawajulikani walipo baada watekaji kuwachukua wageni waalikwa waliokuwa wakirudi kutoka harusini huko kaskazini magharibi mwa Nigeria, mafisa wameliambia shirika la habari la AFP.

Utekaji huo wa idadi kubwa ya watu katika jimbo la Katsina unasemekana ndio mkubwa katika mfululizo wa utekeji nyara wa hivi karibuni katika taifa hilo la Afrika lenye watu wengi.

Msemaji wa polisi Abubakar Aliyu amesema “wanawashuku majambazi wenye silaha kuvamia na kuwateka nyara wanawake 35” waliokuwa wakirudi kutoka harusi katika kijiji cha Sabuwa siku ya Alhamisi usiku.

Kamishna wa usalama wa jimbo Nasiru Muaz ametoa idadi kubwa zaidi ya watu walotekwa, akisema zaidi ya watu 50 wamechukuliwa walipokuwa wakirudi kutoka katika kijiji cha Damari baada ya kumsindikiza bi harusi nyumbani kwa bwana harusi.

Maafisa waliokitembelea kijiji hicho pia waliambiwa kuwa watu 53 walichukuliwa.

“Ilikuwa ni njia ya hatari sana ya kumpeleka bibi harusi kwa kuendesha gizani katika eneo kama hilo lenye ujambazi huku wakiimba kwa vifijo”

“Majambazi waliichukua nafasi hiyo na kuwateka” amesema.

Kamishna amewataka wakazi waepuke kusafiri nyakati za usiku na kusema waafisa usalama wanajaribu kuwaokoa mateka hao.

Utekaji nyara kwa ajili ya kulipwa fidia umekuwa tatizo nchini Nigeria. Kukiwa na magenge ya waharifu yakilenga barakara kuu, nyumba na hata kuwanyakuwa wanafunzi wakitoka mashuleni.

============

35 Wedding Guests Kidnapped in Nigeria

KANO - At least 35 women are missing after kidnappers seized guests returning from a wedding in northwestern Nigeria, officials told AFP on Monday.

The mass kidnapping in Katsina state is the largest in a series of recent abductions across Africa's most populous country.

Police spokesman Abubakar Aliyu said "suspected armed bandits ambushed and kidnapped about 35 women" coming back from the wedding in the Sabuwa area on Thursday night.

The state's internal security commissioner Nasiru Muaz gave a higher figure, saying more than 50 people were seized on the way back to Damari village after escorting the bride to the groom's home.

"Officials visited the village and were told that 53 people were taken," he said.

"It was quite risky for a convoy conveying a bride to drive in the dark in such a bandits-prone area amid singing and ululating.

"The bandits seized that opportunity and took them away," he said.

The commissioner urged residents to avoid travelling at night and said security personnel were trying to find and rescue the captives.

Kidnapping for ransom is a major problem in Nigeria, with criminal gangs targeting highways, apartments and even snatching pupils from schools.

Gangs known locally as bandits operate out of bases hidden in forests across the northwest and central states.



At the start of the year, criminals abducted five young sisters near the capital Abuja and killed one when a ransom deadline passed, sparking a national outcry.

Last week, kidnappers attacked a Nigerian school bus and abducted five children along with their teachers in southwestern Ekiti state.

Two traditional rulers were killed in a separate attack in the same state last Monday, while gunmen shot dead another traditional monarch and kidnapped his wife in Kwara state on Thursday.

President Bola Ahmed Tinubu came to power last year promising to address insecurity in Nigeria.

The country is grappling with jihadists in the northeast, criminal militias in the northwest and a flareup of intercommunal violence in central states.

Nigerian risk consultancy SBM Intelligence said it had recorded 3,964 people abducted in Nigeria since Tinubu took office in May.

Source: VOA
 
Huwa Najiuliza nchi ndogo Kama Nigeria,

1. Boko Haram wanamiliki vipi silaha nzito za kijeshi na kuzionyesha kwny video afu wasijulikane walipo

2. Wanateka vipi mamia ya watu na kuwaficha mafichoni wasijulikane kbs walipo miezi na miaka Hadi wanarudishwa Wana watoto kabisa

Wakati ukiiangalia Nigeria haiifikii hata ukubwa mkoa wa morogoro
 
Huwa Najiuliza nchi ndogo Kama Nigeria,

1. Boko Haram wanamiliki vipi silaha nzito za kijeshi na kuzionyesha kwny video afu wasijulikane walipo

2. Wanateka vipi mamia ya watu na kuwaficha mafichoni wasijulikane kbs walipo miezi na miaka Hadi wanarudishwa Wana watoto kabisa

Wakati ukiiangalia Nigeria haiifikii hata ukubwa mkoa wa morogoro
Ahahahaaaa eti mkoa wa morogoro
 
Huwa Najiuliza nchi ndogo Kama Nigeria,

1. Boko Haram wanamiliki vipi silaha nzito za kijeshi na kuzionyesha kwny video afu wasijulikane walipo

2. Wanateka vipi mamia ya watu na kuwaficha mafichoni wasijulikane kbs walipo miezi na miaka Hadi wanarudishwa Wana watoto kabisa

Wakati ukiiangalia Nigeria haiifikii hata ukubwa mkoa wa morogoro
Morogoro!!!!!!!!!!!!!!!????
 
Takriban watu 35 hawajulikani walipo baada watekaji kuwachukua wageni waalikwa waliokuwa wakirudi kutoka harusini huko kaskazini magharibi mwa Nigeria, mafisa wameliambia shirika la habari la AFP.

Utekaji huo wa idadi kubwa ya watu katika jimbo la Katsina unasemekana ndio mkubwa katika mfululizo wa utekeji nyara wa hivi karibuni katika taifa hilo la Afrika lenye watu wengi.

Msemaji wa polisi Abubakar Aliyu amesema “wanawashuku majambazi wenye silaha kuvamia na kuwateka nyara wanawake 35” waliokuwa wakirudi kutoka harusi katika kijiji cha Sabuwa siku ya Alhamisi usiku.

Kamishna wa usalama wa jimbo Nasiru Muaz ametoa idadi kubwa zaidi ya watu walotekwa, akisema zaidi ya watu 50 wamechukuliwa walipokuwa wakirudi kutoka katika kijiji cha Damari baada ya kumsindikiza bi harusi nyumbani kwa bwana harusi.

Maafisa waliokitembelea kijiji hicho pia waliambiwa kuwa watu 53 walichukuliwa.

“Ilikuwa ni njia ya hatari sana ya kumpeleka bibi harusi kwa kuendesha gizani katika eneo kama hilo lenye ujambazi huku wakiimba kwa vifijo”

“Majambazi waliichukua nafasi hiyo na kuwateka” amesema.

Kamishna amewataka wakazi waepuke kusafiri nyakati za usiku na kusema waafisa usalama wanajaribu kuwaokoa mateka hao.

Utekaji nyara kwa ajili ya kulipwa fidia umekuwa tatizo nchini Nigeria. Kukiwa na magenge ya waharifu yakilenga barakara kuu, nyumba na hata kuwanyakuwa wanafunzi wakitoka mashuleni.

============

35 Wedding Guests Kidnapped in Nigeria

KANO - At least 35 women are missing after kidnappers seized guests returning from a wedding in northwestern Nigeria, officials told AFP on Monday.

The mass kidnapping in Katsina state is the largest in a series of recent abductions across Africa's most populous country.

Police spokesman Abubakar Aliyu said "suspected armed bandits ambushed and kidnapped about 35 women" coming back from the wedding in the Sabuwa area on Thursday night.

The state's internal security commissioner Nasiru Muaz gave a higher figure, saying more than 50 people were seized on the way back to Damari village after escorting the bride to the groom's home.

"Officials visited the village and were told that 53 people were taken," he said.

"It was quite risky for a convoy conveying a bride to drive in the dark in such a bandits-prone area amid singing and ululating.

"The bandits seized that opportunity and took them away," he said.

The commissioner urged residents to avoid travelling at night and said security personnel were trying to find and rescue the captives.

Kidnapping for ransom is a major problem in Nigeria, with criminal gangs targeting highways, apartments and even snatching pupils from schools.

Gangs known locally as bandits operate out of bases hidden in forests across the northwest and central states.



At the start of the year, criminals abducted five young sisters near the capital Abuja and killed one when a ransom deadline passed, sparking a national outcry.

Last week, kidnappers attacked a Nigerian school bus and abducted five children along with their teachers in southwestern Ekiti state.

Two traditional rulers were killed in a separate attack in the same state last Monday, while gunmen shot dead another traditional monarch and kidnapped his wife in Kwara state on Thursday.

President Bola Ahmed Tinubu came to power last year promising to address insecurity in Nigeria.

The country is grappling with jihadists in the northeast, criminal militias in the northwest and a flareup of intercommunal violence in central states.

Nigerian risk consultancy SBM Intelligence said it had recorded 3,964 people abducted in Nigeria since Tinubu took office in May.

Source: VOA
Serikali dhaifu ya Tinubu inashindwa kulinda raia wake.
 
Huwa Najiuliza nchi ndogo Kama Nigeria,

1. Boko Haram wanamiliki vipi silaha nzito za kijeshi na kuzionyesha kwny video afu wasijulikane walipo

2. Wanateka vipi mamia ya watu na kuwaficha mafichoni wasijulikane kbs walipo miezi na miaka Hadi wanarudishwa Wana watoto kabisa

Wakati ukiiangalia Nigeria haiifikii hata ukubwa mkoa wa morogoro
Nigeria sio nchi ndogo

Nigeria ina ukubwa wa (923,7770 sq kilometers) na Tanzania 945,000 sq kilometers).

Suala la ugaidi wa Nigeria ni pana mno maana ni tatizo la ukanda wote huo japo Nigeria ndio wanaonekana waathirika zaidi.


 
Takriban watu 35 hawajulikani walipo baada watekaji kuwachukua wageni waalikwa waliokuwa wakirudi kutoka harusini huko kaskazini magharibi mwa Nigeria, mafisa wameliambia shirika la habari la AFP.

Utekaji huo wa idadi kubwa ya watu katika jimbo la Katsina unasemekana ndio mkubwa katika mfululizo wa utekeji nyara wa hivi karibuni katika taifa hilo la Afrika lenye watu wengi.

Msemaji wa polisi Abubakar Aliyu amesema “wanawashuku majambazi wenye silaha kuvamia na kuwateka nyara wanawake 35” waliokuwa wakirudi kutoka harusi katika kijiji cha Sabuwa siku ya Alhamisi usiku.

Kamishna wa usalama wa jimbo Nasiru Muaz ametoa idadi kubwa zaidi ya watu walotekwa, akisema zaidi ya watu 50 wamechukuliwa walipokuwa wakirudi kutoka katika kijiji cha Damari baada ya kumsindikiza bi harusi nyumbani kwa bwana harusi.

Maafisa waliokitembelea kijiji hicho pia waliambiwa kuwa watu 53 walichukuliwa.

“Ilikuwa ni njia ya hatari sana ya kumpeleka bibi harusi kwa kuendesha gizani katika eneo kama hilo lenye ujambazi huku wakiimba kwa vifijo”

“Majambazi waliichukua nafasi hiyo na kuwateka” amesema.

Kamishna amewataka wakazi waepuke kusafiri nyakati za usiku na kusema waafisa usalama wanajaribu kuwaokoa mateka hao.

Utekaji nyara kwa ajili ya kulipwa fidia umekuwa tatizo nchini Nigeria. Kukiwa na magenge ya waharifu yakilenga barakara kuu, nyumba na hata kuwanyakuwa wanafunzi wakitoka mashuleni.

============

35 Wedding Guests Kidnapped in Nigeria

KANO - At least 35 women are missing after kidnappers seized guests returning from a wedding in northwestern Nigeria, officials told AFP on Monday.

The mass kidnapping in Katsina state is the largest in a series of recent abductions across Africa's most populous country.

Police spokesman Abubakar Aliyu said "suspected armed bandits ambushed and kidnapped about 35 women" coming back from the wedding in the Sabuwa area on Thursday night.

The state's internal security commissioner Nasiru Muaz gave a higher figure, saying more than 50 people were seized on the way back to Damari village after escorting the bride to the groom's home.

"Officials visited the village and were told that 53 people were taken," he said.

"It was quite risky for a convoy conveying a bride to drive in the dark in such a bandits-prone area amid singing and ululating.

"The bandits seized that opportunity and took them away," he said.

The commissioner urged residents to avoid travelling at night and said security personnel were trying to find and rescue the captives.

Kidnapping for ransom is a major problem in Nigeria, with criminal gangs targeting highways, apartments and even snatching pupils from schools.

Gangs known locally as bandits operate out of bases hidden in forests across the northwest and central states.



At the start of the year, criminals abducted five young sisters near the capital Abuja and killed one when a ransom deadline passed, sparking a national outcry.

Last week, kidnappers attacked a Nigerian school bus and abducted five children along with their teachers in southwestern Ekiti state.

Two traditional rulers were killed in a separate attack in the same state last Monday, while gunmen shot dead another traditional monarch and kidnapped his wife in Kwara state on Thursday.

President Bola Ahmed Tinubu came to power last year promising to address insecurity in Nigeria.

The country is grappling with jihadists in the northeast, criminal militias in the northwest and a flareup of intercommunal violence in central states.

Nigerian risk consultancy SBM Intelligence said it had recorded 3,964 people abducted in Nigeria since Tinubu took office in May.

Source: VOA
Daah Hawa jamaa bwana!!
 
Huwa Najiuliza nchi ndogo Kama Nigeria,

1. Boko Haram wanamiliki vipi silaha nzito za kijeshi na kuzionyesha kwny video afu wasijulikane walipo

2. Wanateka vipi mamia ya watu na kuwaficha mafichoni wasijulikane kbs walipo miezi na miaka Hadi wanarudishwa Wana watoto kabisa

Wakati ukiiangalia Nigeria haiifikii hata ukubwa mkoa wa morogoro
Kuna muda mwengine ni bora ukae kimya na uvunge ili kuepuka aibu ndogo ndogo kutokana na kutokujua, Nigeria haifikii ukubwa Morogoro??? Ilhali ina ukubwa kama wa Tanzania nzima kama sio zaidi??
 
Back
Top Bottom