Watu wenye silaha wawateka walimu na wanafunzi Nigeria

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Serikali ya Nigeria imesema Jumanne kwamba watu wenye silaha wamewateka nyara wanafunzi sita na walimu watatu kutoka shule moja katika jimbo la Kusini Magharibi la Ekiti usiku wa Jumatatu, hii ikiwa ni ripoti ya kwanza ya utekajinyara inayohusisha wanafunzi kwa mwaka huu.

Magenge ya watu wenye silaha yamekuwa yakiwateka wanakijiji, wasafiri wa barabarani na wanafunzi kwa kudai fidia, katika nchi hiyo yenye watu wengi zaidi barani Afrika, ambayo inapambana na ukosefu mkubwa wa usalama, pamoja na uwasi wa muda mrefu unaofanywa na wanamgambo wenye itikadi kali za kiislamu huko Kaskazini Mashariki.

Serikali ya Ekiti imesema katika taarifa utekaji huo wa hivi karibuni umetokea wakati wanafunzi na walimu walipokuwa wakirudi kutokasafari karibu na kijiji chao siku ya Jumatatu usiku. Dereva wa basi hilo la shule pia alitekwa.

Idara za usalama katika jimbo wako kwenye msako wa kuwatafuta watekaji nyara hao, taarifa hiyo iliongeza.

Hakuna aliyedai kuwajibika au kudai fidia. Rais Bola Tinubu, anaewekea kuufufua uchumi wa nchi hiyo unaosuasua kuwa kipaumbele chake, anazidi kuwekewa shinikizo kutokana na wimbi la utekaji nyara katika nchi nzima ya Nigeria, yakiwemo maeneo yaliyoko nje ya mji mkuu wa Abuja mwezi huu.

Kiongozi mkuu wa upinzani Atiku Abubakar siku ya Jumanne alimshtumu Tinubu kwa “kucheza fidla” wakati Nigeria ikizama baharini kwa kutokuwa na usalama” akijaribu kutaja ziara binafsi ya rais amefanya safari binafsi ya wiki kwenda Ufaransa.


#####

Schoolchildren and teachers kidnapped in Nigeria

Six students, three teachers and a bus driver have been kidnapped by unknown gunmen in south-western Nigeria.

In a statement posted online, the Ekiti state government said the victims were attacked in the town of Emure while returning from a road trip on Monday night.

State Governor Abiodun Oyebanji said the authorities are determined "to get the children and their teachers rescued", meanwhile residents are being urged to remain and share any information that could help the search.

It is not yet clear who is responsible or whether they have demanded a ransom.

Kidnapping for ransom has worsened in Nigeria in recent years with armed gangs targeting road travellers, students as well as residents in rural and urban areas across the country.

Earlier on Monday, about 50 civil society organisations issued a joint call on President Bola Tinubu to declare a state of emergency regarding the security situation. They said over 1,800 people had been abducted since the president assumed office in May last year.

Source: BBC
 
Back
Top Bottom