sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Kiukweli mbavu toa ndiyo maana nimepiga kambi hapa.
msiishie kupewa sifa tu na sisi tuangalieni sasa tunaowapa sifa mtufikirie.
Teh teh kumbe hizi sifa sio bure buree
Kiukweli mbavu toa ndiyo maana nimepiga kambi hapa.
msiishie kupewa sifa tu na sisi tuangalieni sasa tunaowapa sifa mtufikirie.
Hahahaa!Na wewe ni mweusi
Natania tu
Mzima lakn mkuu
Hahahaaa!Au sio emm
Contrasting colors match nicely... Huh?Hahahaaa!
Mi mzima mkuuHahahaa!
Mzima mkuu habari yako?
are u blacky?!Yan jf hata kama hukujipenda mwanzoni utajipenda tu. Maana kila mtu na sifa zake.
HahahaTaratibu watajiuaa sifa nyingi saana hizo
Asante kushukuruAhsante zimefika.
Dadavua...Yan jf hata kama hukujipenda mwanzoni utajipenda tu. Maana kila mtu na sifa zake.
Hahaha...Hahaha
Punguza wivu, tulisahaulika sana bhana!!!
Ndo maana hata mimi niliamua kumuoa mweusi. They are genuine!Wanajamvii habari za weekend, nitakuwa nadhulumu nafsi nisipowapa sifa wanawake wote weusi kwa kuwa wananivutia sana huwa nahisi ni kutokana na mimi nilivyo ila....
Kwa wachache niliokutana nao walikuwa waaminifu, wakweli, wakipenda wanapenda kweli, washauri wazuri, hawajiskii, hawana tamaa, waelewa, hupenda kukupa lift unapokwama, wivu unaotakiwa, waelewa, wanasubira pia.n.k.
May God bless all black women..
Mbona mnatukumbukaga daily. Ila sifa ndo hamtupi dailyLeo wamekumbukwa....
Yes mimi black sema sio ilee yenyewe..ila wanawake weusi ni wazuri asee.. halafu kulee mnajoto saanaHalafu naona hata we ni black![]()
![]()
![]()
AiseeYes mimi black sema sio ilee yenyewe..ila wanawake weusi ni wazuri asee.. halafu kulee mnajoto saana
1. Lupita nyongo
2. Nancy sumari
3.yvonne okoro mghana
Nipo wangu.Asante kushukuru
Upoo mamy