Wanawake Weusi wana sifa nzuri sana

Wanawake Weusi wana sifa nzuri sana

Kiukweli mbavu toa ndiyo maana nimepiga kambi hapa.

msiishie kupewa sifa tu na sisi tuangalieni sasa tunaowapa sifa mtufikirie.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Teh teh kumbe hizi sifa sio bure buree
 
Kwa wachache niliokutana nao walikuwa waaminifu, wakweli, wakipenda wanapenda kweli, washauri wazuri, hawajiskii, hawana tamaa, waelewa, hupenda kukupa lift unapokwama, wivu unaotakiwa, waelewa, wanasubira pia.n.k.

Nami kama nakuunga mkono eti.
 
Wanajamvii habari za weekend, nitakuwa nadhulumu nafsi nisipowapa sifa wanawake wote weusi kwa kuwa wananivutia sana huwa nahisi ni kutokana na mimi nilivyo ila....
Kwa wachache niliokutana nao walikuwa waaminifu, wakweli, wakipenda wanapenda kweli, washauri wazuri, hawajiskii, hawana tamaa, waelewa, hupenda kukupa lift unapokwama, wivu unaotakiwa, waelewa, wanasubira pia.n.k.

May God bless all black women..
Ndo maana hata mimi niliamua kumuoa mweusi. They are genuine!
 
Back
Top Bottom