Wanawake Weusi wana sifa nzuri sana

Wanawake Weusi wana sifa nzuri sana

Wanajamvii habari za weekend, nitakuwa nadhulumu nafsi nisipowapa sifa wanawake wote weusi kwa kuwa wananivutia sana huwa nahisi ni kutokana na mimi nilivyo ila....
Kwa wachache niliokutana nao walikuwa waaminifu, wakweli, wakipenda wanapenda kweli, washauri wazuri, hawajiskii, hawana tamaa, waelewa, hupenda kukupa lift unapokwama, wivu unaotakiwa, waelewa, wanasubira pia.n.k.

May God bless all black women..
Ni kwa wembamba tuu
 
Wanajamvii habari za weekend, nitakuwa nadhulumu nafsi nisipowapa sifa wanawake wote weusi kwa kuwa wananivutia sana huwa nahisi ni kutokana na mimi nilivyo ila....
Kwa wachache niliokutana nao walikuwa waaminifu, wakweli, wakipenda wanapenda kweli, washauri wazuri, hawajiskii, hawana tamaa, waelewa, hupenda kukupa lift unapokwama, wivu unaotakiwa, waelewa, wanasubira pia.n.k.

May God bless all black women..
Sio kweli
 
Aiseeh naona unaanza matusi ya chini chini...

Kwani vipi si na mention sifa zenu? Kichwa cha nini wewe unacho? Ulijuaje huwa kinatumika kuwaza? Au unajua nikishaongelea joto basi nataka joto lako? Correct there la sivyo umenitukana
Shemeji kama umepanik hivi!!
 
Aiseeh naona unaanza matusi ya chini chini...

Kwani vipi si na mention sifa zenu? Kichwa cha nini wewe unacho? Ulijuaje huwa kinatumika kuwaza? Au unajua nikishaongelea joto basi nataka joto lako? Correct there la sivyo umenitukana
Mmmmh
 
Aiseeh naona unaanza matusi ya chini chini...

Kwani vipi si na mention sifa zenu? Kichwa cha nini wewe unacho? Ulijuaje huwa kinatumika kuwaza? Au unajua nikishaongelea joto basi nataka joto lako? Correct there la sivyo umenitukana
Sio matusi bhana shem

Ko umechukia
 
Back
Top Bottom